GE2025 Mgombea Urais SAU Majalio Kyara: Utaratibu wa vituo upo vizuri kwahiyo wananchi endeleeni kujitokeza kupiga kura

GE2025 Mgombea Urais SAU Majalio Kyara: Utaratibu wa vituo upo vizuri kwahiyo wananchi endeleeni kujitokeza kupiga kura

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara amepiga kura yake leo katika kituo cha Buyuni Jimbo la Ubungo.

Baada ya kupiga kura alizungumza na wanaHabari akisema hadi sasa vituo vya kupiga kura utaratbu upo sawa na wananchi wanaendelea kujitokeza lakini pia akawasisitiza waTanzania waendelea kujitokeza kupiga kura.

 
Hapo utakuta ye ni mgombea urais lakini kura kampigia samuya hahahhaa
Njaa itaua watu dadeki
 
Back
Top Bottom