GE2025 Mgombea urais hama cha Wakulima (AAFP) aahidi kununua Helikopta kwa kila wilaya kusaidia watakaokumbwa na mafuriko

GE2025 Mgombea urais hama cha Wakulima (AAFP) aahidi kununua Helikopta kwa kila wilaya kusaidia watakaokumbwa na mafuriko

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Mgombea urais kupitia Chama cha Wakulima (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru, ameahidi kununua helikopta kwa kila wilaya nchini zitakazotumika kusaidia shughuli za uokozi kwa Watanzania watakaokumbwa na mafuriko.

 
Kwani kila wilaya nchini ina mito itakatoleta mafuriko? Na wale waliopo nyanda za juu atawapa nini?
 
Hakuna jipya chini ya kua, Mobutu alikua na vyama 200 vya upinzani vilivyoonekana kama Zaire kuna upinzani.
 
Back
Top Bottom