tangu siasa za vyama vingi zimeanza cdm imewasimamisha kwa nyakat tofaut dr slaa na mbowe kugombea nafas ya urais. Lakin kwa bahat mbaya wanasiasa hawa hasa dr slaa wamekuwa wakimwagwa vibaya na chama dume la siasa za tanzania ccm.
Juhud zote za kudai ushindi kwa nguvu zimeshindkana na slaa kubaki kama rais kivuli au rais ambaye hakutangazwa kama wengne wanavyomwita
cdm chukueni ushauri huu: ni kweli dr na mbowe ni wanasiasa mahili lakin watanzania hawajawaamini kuwakabidh ikulu. Tafteni mtu mwingne agombee nafasi hii hata kama ni mh lema, msigwa, mnyika au hata sugu mkipenda lakin sio hawa wawil vingnevyo ikulu mtaishia kuiskia kwenye redio na magazeti. Chama kina wadau na viongozi weng mahili hebu wapeni nafasi pia
Hii siyo CCM chama kina Katiba zenye Kanuni na taratibu, wala hakuna anayehitaji ushauri wako. Nenda kawashauri wavue Gamba, Waboreshe Elimu, wawatimu Mawaziri Mizigo na kumaliza mauaji ya Tembo, na kukomesha biashara ya madawa ya kulevya
Nani kakwambia CHADEMA inahitaji ushauri wa Bure, Inajua ni nani anabudi operation zinazowanyima usingizi, Ninyi ndo mmepanic, Sasa kaeni mkao wa kupisha Ofisi Kuu. Hakuna mchezo wewe tembelea vijijini ndo utambue watu wameshabadilika. Miaka 26 IMETOSHA kutupatia uzoefu wa kujua namna CCM inavyoiba kura na udhaifu uliokuwepo sasa pengo lishazibwa. Si umeona wameweka wagombea 26 baada ya huyo mliyemununua Lushoto.
Muda flani huwa nahisi c.c.yem lumumba huwa inaongozwa na watu walioshindikana milembe!
Sasa huu ushari waki.she.nzi unampa nani?,
labda mpe baba yake na ritz 1 .
cdm chukueni ushauri huu: ni kweli dr na mbowe ni wanasiasa mahili lakin watanzania hawajawaamini kuwakabidh ikulu. Tafteni mtu mwingne agombee nafasi hii hata kama ni mh lema, msigwa, mnyika au hata sugu mkipenda
tangu siasa za vyama vingi zimeanza cdm imewasimamisha kwa nyakat tofaut dr slaa na mbowe kugombea nafas ya urais. Lakin kwa bahat mbaya wanasiasa hawa hasa dr slaa wamekuwa wakimwagwa vibaya na chama dume la siasa za tanzania ccm.
Juhud zote za kudai ushindi kwa nguvu zimeshindkana na slaa kubaki kama rais kivuli au rais ambaye hakutangazwa kama wengne wanavyomwita
cdm chukueni ushauri huu: ni kweli dr na mbowe ni wanasiasa mahili lakin watanzania hawajawaamini kuwakabidh ikulu. Tafteni mtu mwingne agombee nafasi hii hata kama ni mh lema, msigwa, mnyika au hata sugu mkipenda lakin sio hawa wawil vingnevyo ikulu mtaishia kuiskia kwenye redio na magazeti. Chama kina wadau na viongozi weng mahili hebu wapeni nafasi pia
Chadema kamwe haitapokea ushauri wa Wafu.
Tangu YERICKO NYERERE alipoharibu propaganda za NAPE ni kama ccm imechanganyikiwa vile ! Kila mtu kawa msemaji !
Msimamisheni LEMA au SUGU apeperushe bendera ya chama kwenye ngazi ya Urais!
Nani kakwambia km mbowe atatoka tena pale??atagombania hd awe mzee lkn atabaki kuwa msindikizaji milele,urais hauwendi kwa ukabila na udini.
ZZK unatapa tapa sana japo unaishi nchi kavu
kig'ang'anizi sana huyu sultani
Vote for Dr slaa ikishindikana kabisa basi Lowassa
Msimamisheni LEMA au SUGU apeperushe bendera ya chama kwenye ngazi ya Urais!