Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,466
- 11,641
tangu siasa za vyama vingi zimeanza cdm imewasimamisha kwa nyakat tofaut dr slaa na mbowe kugombea nafas ya urais. Lakin kwa bahat mbaya wanasiasa hawa hasa dr slaa wamekuwa wakimwagwa vibaya na chama dume la siasa za tanzania ccm.
Juhud zote za kudai ushindi kwa nguvu zimeshindkana na slaa kubaki kama rais kivuli au rais ambaye hakutangazwa kama wengne wanavyomwita
cdm chukueni ushauri huu: ni kweli dr na mbowe ni wanasiasa mahili lakin watanzania hawajawaamini kuwakabidh ikulu. Tafteni mtu mwingne agombee nafasi hii hata kama ni mh lema, msigwa, mnyika au hata sugu mkipenda lakin sio hawa wawil vingnevyo ikulu mtaishia kuiskia kwenye redio na magazeti. Chama kina wadau na viongozi weng mahili hebu wapeni nafasi pia
Juhud zote za kudai ushindi kwa nguvu zimeshindkana na slaa kubaki kama rais kivuli au rais ambaye hakutangazwa kama wengne wanavyomwita
cdm chukueni ushauri huu: ni kweli dr na mbowe ni wanasiasa mahili lakin watanzania hawajawaamini kuwakabidh ikulu. Tafteni mtu mwingne agombee nafasi hii hata kama ni mh lema, msigwa, mnyika au hata sugu mkipenda lakin sio hawa wawil vingnevyo ikulu mtaishia kuiskia kwenye redio na magazeti. Chama kina wadau na viongozi weng mahili hebu wapeni nafasi pia