GE2025 Mgombea urais CCM Samia Suluhu Hassan awatoa hofu wananchi, "tuko salama wakati wowote"

GE2025 Mgombea urais CCM Samia Suluhu Hassan awatoa hofu wananchi, "tuko salama wakati wowote"

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Dkt. Samia Suluhu Hassan amewatoa hofu Watanzania Kwa kusema kuwa vyombo vya Ulinzi na usalama vimejipanga vyema wakati wote iwe kwenye uchaguzi na hata baada ya uchaguzi

Dkt. Samia ameyasema hayo Leo Oct 22,2025 Kinyerezi Wilayani Ilala Mkoani Dar Es Salaam kwenye mwendelezo wa Mikutano yake ya Kampeni za uchaguzi Mkuu ya 2025
 
Back
Top Bottom