DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha Wakulima (AAFP) Said Soud, amekiaasa chama cha ACT Wazalendo kuacha kuhamasisha fujo kwa kisingizio cha kura ya mapema kwani kufanya hivyo ni kuonesha kwamba wana uchu wa madaraka.
Mgombea huyo ameutaka Umoja wa mataifa, Jumuiya ya madola SADC na EU kuwa tayari kwa mtu yoyote atakaeashiria kufanya vurugu katika nchi basi kupelekwa katika mahakama kuu ya dunia na asiishie mahakama ya Afrika Mashariki.
Mbali na hayo, alitumia nafasi hiyo kuwaomba viongozi wa dini zote kuendelea kushajihisha amani na kuisimamia amani hiyo.
Mgombea huyo ameutaka Umoja wa mataifa, Jumuiya ya madola SADC na EU kuwa tayari kwa mtu yoyote atakaeashiria kufanya vurugu katika nchi basi kupelekwa katika mahakama kuu ya dunia na asiishie mahakama ya Afrika Mashariki.
Mbali na hayo, alitumia nafasi hiyo kuwaomba viongozi wa dini zote kuendelea kushajihisha amani na kuisimamia amani hiyo.