Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,498
Wakuu, huu ndiyo msimu wa miujiza kila kitu kinawezekana! 😂
Eti sasa Mgombea Ubunge Abdallah Chaurembo, kageuka mwongoza mazoezi kwa vijana wa hamasa Chamazi. Kwanini haya mazoezi ya uzalendo hayafanyiki mara kwa mara kabla ya Uchaguzi?, ila muda wa kampeni ghafla tunaona?
Soma: Mbunge Chaurembo aitosa Mbagala, atangaza kugombea Ubunge jimbo jipya la Chamazi
Eti sasa Mgombea Ubunge Abdallah Chaurembo, kageuka mwongoza mazoezi kwa vijana wa hamasa Chamazi. Kwanini haya mazoezi ya uzalendo hayafanyiki mara kwa mara kabla ya Uchaguzi?, ila muda wa kampeni ghafla tunaona?
Soma: Mbunge Chaurembo aitosa Mbagala, atangaza kugombea Ubunge jimbo jipya la Chamazi