Mgombea ubunge Afrika Mashariki, kweli kuna watu wameumbwa, nimeamua kumpigia kampeni Fancy Ikuhi

Wana wa bashite hawajajitwalia kweli.maana lile chama la mjani wa kijani hakuna dhambi hawajafanya
 
Nikisoma mawazo ya mleta Uzi, naanza kuelewa vizuri alichosema Dr. Benson Ban, leo hapo redio clouds fm,

Kasema tupeleke watu wenye uwezo na siyo watu wa kujenga mahusiano , faida binafsi na hawaelewi chochote kuhusu EAC.

Akotolea mfano, wa Kenya kuwa inapeleka vijana ila wenye uelewa na waliosoma hapa Tanzania chuo cha uongozi.

Sasa, na sisi tujitathimini aisee kama tunawapigia watu kampeni kwa mionekano kwa kweli kazi bado tunayo ya ziada.
 
Kwa nini anagombea?
Ana elimu gani? CV yake?
Ana weredi katika nini?
Nini Maono yake dhidi ya ugombea wake?
Tutalajie nini kama taifa toka kwake?
Maisha yake binafsi kimaadili yanaakisi utashi wa kiuwakirishi?
Anaweza kujisimamia,kusimamia maslahi ya taifa?
Amefanya nini kabla ambacho taifa laweza kujifuvua {creativity,Vision,Innovativeness,Patriotism,etc}
 
Kwa nini anagombea?
Ana elimu gani? CV yake?
Ana weredi katika nini?
Nini Maono yake dhidi ya ugombea wake?
Tutalajie nini kama taifa toka kwake?
Maisha yake binafsi kimaadili yanaakisi utashi wa kiuwakirishi?
Anaweza kujisimamia,kusimamia maslahi ya taifa?
Amefanya nini kabla ambacho taifa laweza kujifuvua {creativity,Vision,Innovativeness,Patriotism,etc}
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…