Wameona ubwabwa maharage ni hasara wamekimbilia uji wa mchele?Chaumma
Hahahaha,NAMI nilitaka kusema hvNi mgombea wa chama gani huyo? Labda kwenye hilo jimbo wakazi wake wana upungufu wa uji mwilini.
Duuh! tutasikia mengi mwaka huuWakuu mimi Nimeshangaa kidogo,huyu mgombea ubunge huko mkoani lindi ameahidi kupatia wananchi uji.
Hivi hawa wanasiasa wako serous kweli?