consigliori
JF-Expert Member
- Mar 29, 2010
- 392
- 89
Ndugu wanajanvi,
Binafsi sijelewi kwa nini rais wetu hajasema chochote kuhusu mgogoro huu. Mimi nilidhani hili ni jambo kubwa ambalo lilitakiwa kushughulikiwa kwa haraka, lakini inaonekana sivyo analvyoliona rais wetu. Hii inanifanya nishindwe kumuelewa huyu raisi ambaye huonekana kwenye misiba, hutembelea wagonjwa hospitali, lakini katika hili yupo kimya kabis!
Binafsi sijelewi kwa nini rais wetu hajasema chochote kuhusu mgogoro huu. Mimi nilidhani hili ni jambo kubwa ambalo lilitakiwa kushughulikiwa kwa haraka, lakini inaonekana sivyo analvyoliona rais wetu. Hii inanifanya nishindwe kumuelewa huyu raisi ambaye huonekana kwenye misiba, hutembelea wagonjwa hospitali, lakini katika hili yupo kimya kabis!