Mgogoro wa Machame na Kibosho

Mgogoro wa Machame na Kibosho

Naona kuna umuhimu wa hili swala kushughulikiwa kiroho,tafuta watu unaowafahamu wenye uelewa wa hayo mambo walifanyie kazi,swali,ina maana hata sasa wakibosho na hao wamashami hawaoani???
 
Nimeipenda sana hii hasa ilipotumia majina halisi ya maeneo husika.

Natamani niongezee sema nitachafua uzi mana wakosoaji hawaishiwi maneno
 
Nimeipenda sana hii hasa ilipotumia majina halisi ya maeneo husika.

Natamani niongezee sema nitachafua uzi mana wakosoaji hawaishiwi maneno
Fanya mambo kiongozi
 
Hawa wasimuliaji wanatofautiana kuna wengine wanasema Mangi wa mashami alitaka kulitawala eneo loote la kibosho lakini huyo sina alikuwa korofi na akapata taarifa baada ya kujifanya ammekufa mangi wa wamexhame alikuja na watu wake kuja kuwagawia maeneo. Alipotaka kuushuhudia mwili wa marehemu alifumuliwa ubongo na sina na watu wake wote waliuawa
Na Huu ndio ukweli unaojulikana mkuu.
 
Mleta mada una hoja hili tatizo la kuzaa ndani na nje ya ndoa lina matatizo makubwa mfano waisraeli na wapalestina wanatwangana hadi leo watoto wa baba mmoja ila mama tofauti .Baba yao wote ni mangi IBRAHIM Mangi wa WAISRAEL aliyezaa Isaka baba yao akazaa mtoto mwingine Ishmael kwa mama mwingine wa kufikia ambaye ndie baba yao waarabu wapalestina

Kila mmoja anachukia mwenzie na kwa mwenzie hilo tatizo naliona ndio liko kwenu

wanume waache kuzaa zaa ovyo
Wakati ndo wapo busy kuhalalisha michepuko kisa Ibrahim alikua nayo hawaangalii mbele madhara ni makubwa kiasi gani
 
Wakati ndo wapo busy kuhalalisha michepuko kisa Ibrahim alikua nayo hawaangalii mbele madhara ni makubwa kiasi gani
Uko sahihi Mia kwa mia kuzaa nje ya ndoa na mchepuko kubaya sana hata Ibrahim baba wa imani kulimpa shida hadi leo Watoto wa nyumba ndogo wapalestina na Watoto wa nyumba kubwa waisrae wanatwangana hadi leo
 
Naona kuna umuhimu wa hili swala kushughulikiwa kiroho,tafuta watu unaowafahamu wenye uelewa wa hayo mambo walifanyie kazi,swali,ina maana hata sasa wakibosho na hao wamashami hawaoani???
Mimi ni mmashami ila nimekulia mkoani. Katika mchakato wa kimaisha nikapata mpenzi mmoja mkibosho. Mtoto sio mchezo, kweli nilimpenda sana pale Arusha. Nikataka kuoa, mzee!!!!!! Baba, Mama na wajomba walikuwa 🔥 kweli hadi nikashindwa muoa Mickness wangu. Sasa nina mnyamwezi wangu maisha yanaendelea.
 
Uko sahihi Mia kwa mia kuzaa nje ya ndoa na mchepuko kubaya sana hata Ibrahim baba wa imani kulimpa shida hadi leo Watoto wa nyumba ndogo wapalestina na Watoto wa nyumba kubwa waisrae wanatwangana hadi leo
Kwa usomaji wangu wa Biblia sijaona sehemu wapalestina wa sasa i.e waarabu ni watoto wa Ibrahim toka kwa Ishmael. Naomba unisaidie Yehoyada hili limetoka wapi?
 
Back
Top Bottom