Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Kuna habari kwamba wafanyakazi wa kampuni ya habari corparation imekumbwa na mgogoro wa kidini baina ya wauminhi wakikiristo na waumini wa dini ya kiislam baada ya wafanyakazi wa kiislam kupinga kuchapishwa tahariri ya gazeti la MTANZANIA inawashambulia kwa maneno ya kejeli viongozi wa kiislam kwa kupinga SENSAn huku muhariri kukataa ushauri wa wafanyakazi hao na kudai yeye ndie mwenye Mamlaka.
Tahariri hiyo iliochambuliwa sana kwenye redio imaani huku sheikh Ponda akimtuhumu Muhariri huyo amekosa busara na anaendekeza UDINI badala ya utaifa
Tahariri hiyo iliochambuliwa sana kwenye redio imaani huku sheikh Ponda akimtuhumu Muhariri huyo amekosa busara na anaendekeza UDINI badala ya utaifa