Mgogoro wa Kariakoo sio rahisi kuumaliza, bado yataendelea

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
2,144
4,493
Mimi ni mnunuzi bidhaa mbalimbali hapo kariakoo ukweli ni kwamba asilimia 90 ya wafanyabiara hawatoi risiti halali yani ukinunua mzigo wa mil 1 unapewa risiti ya laki 5 wafanyabiasha wa wahindi wao watakuomba wakutolee risiti ya laki 7 wanaouza bidhaa bila risiti ni asilimia 1 wanaotoa risiti halali kila bidhaa ni wachache sana yani kwenye mtaa mzima utakuta anayetoa risiti halali ni mhindi mmoja tu na ndio hawa wafanyabiashara wote wanamtegemea kupata bidhaa

ipo hivyo nilikuja kufuatilia nikaja kugundua hawa wanachokwepa ni hiyo kodi ya vat wanachohofia bidhaa wakipandisha bei itaathiri wateja na watakimbia

Tukija upande TRA wao wapo kinazalia zaidi wao wanaamini wakimuongezea kodi mfanyabiashara wa hapo kariakoo wanaamini mzigo wote ataubeba mtumiaji wa mwisho

Ukisikiliza malalamiko ya wafanyabiashara wanataka kodi iwe chini zaidi ili kuvutia wafanyabiashara wanaotoka nje ya nchi kuja kwa wingi na ndio sababu hawataki kuwapoteza wateja unakutana na mfanyabiashara anakuambia bei na risiti halali bei hii na bei bila bila risiti halali bei ni hii

Not Sio rahisi kwa serikali kukubali kodi ya vat ishuke nchi hii huu mgogoro kuna uwezekano mkubwa kuendelea siku zijazo pamoja na majadiliano yaliyofanyika leo
 
Hapa Kuna siasa ila Serikali ikiendelea kufanya mzaha wa kuwabembeleza watayumbisha sana..

Sio tuu huko Kariakoo,kokote kule wafanyabiashara Huwa Hawataki kutoa risiti na kama ndio hivi wanavyobembelezwa Serikali ijiandae Kwa mapato kiduchu..

Sio sawa ku sucrifice maslahi ya Nchi Kwa maslahi ya Kisiasa..

Natamani washughulikiwe,ni heri kuingia hasara ila nidhamu ije..

Museveni Huwa hana mda wa kuhangaika na wanaoandamana anawaachia ila wakizidi wanakula Cha moto then wanakacha wenyewe..

Hao wasipofungua maduka kwani watakula wapi?

Ukweli ni kwamba Wafanyakazi Huwa hawatoi risiti Halali,pamoja na Changamoto ila niwakwepa Kodi wakubwa.
 
Mimi ni mnunuzi bidhaa mbalimbali hapo kariakoo ukweli ni kwamba asilimia 90 ya wafanyabiara hawatoi risiti halali yani ukinunua mzigo wa mil 1 unapewa risiti ya laki 5 wafanyabiasha wa wahindi wao watakuomba wakutolee risiti ya laki 7 wanaouza bidhaa bila risiti ni asilimia 1 wanaotoa risiti halali kila bidhaa ni wachache sana yani kwenye mtaa mzima utakuta anayetoa risiti halali ni mhindi mmoja tu na ndio hawa wafanyabiashara wote wanamtegemea kupata bidhaa

ipo hivyo nilikuja kufuatilia nikaja kugundua hawa wanachokwepa ni hiyo kodi ya vat wanachohofia bidhaa wakipandisha bei itaathiri wateja na watakimbia

Tukija upande TRA wao wapo kinazalia zaidi wao wanaamini wakimuongezea kodi mfanyabiashara wa hapo kariakoo wanaamini mzigo wote ataubeba mtumiaji wa mwisho

Ukisikiliza malalamiko ya wafanyabiashara wanataka kodi iwe chini zaidi ili kuvutia wafanyabiashara wanaotoka nje ya nchi kuja kwa wingi na ndio sababu hawataki kuwapoteza wateja unakutana na mfanyabiashara anakuambia bei na risiti halali bei hii na bei bila bila risiti halali bei ni hii

Not Sio rahisi kwa serikali kukubali kodi ya vat ishuke nchi hii huu mgogoro kuna uwezekano mkubwa kuendelea siku zijazo pamoja na majadiliano yaliyofanyika leo
Hivi kwani nchi nyengine wanakusantaje kodi? Utaratibu huu wetu je na nchi nyenginezo ni huohuo??
 
Mtu anakwambia ooh Kuna utitiri wa Kodi Mwigulu ajiudhuru,huo utitiri aliweka Mwigulu?

Mfano kwenye biashara ya mbao Kuna Kodi zifuatazo
.VAT
Withholding tax
Kibali Cha TFS
Kuna Tozo ya TFS
Kuna leseni ya biashara
Kuna Tozo ya zima moto
Kuna ushuru wa Halmashauri pande zote mbili,
Kuna ushuru wa taka
Kuna ushuru wa nemc

Hapo zipo 10 Bado waomba Rushwa nk nk
 
Mtu anakwambia ooh Kuna utitiri wa Kodi Mwigulu ajiudhuru,huo utitiri aliweka Mwigulu?

Mfano kwenye biashara ya mbao Kuna Kodi zifuatazo
.VAT
Withholding tax
Kibali Cha TFS
Kuna Tozo ya TFS
Kuna leseni ya biashara
Kuna Tozo ya zima moto
Kuna ushuru wa Halmashauri pande zote mbili,
Kuna ushuru wa taka
Kuna ushuru wa nemc

Hapo zipo 10 Bado waomba Rushwa nk nk
Unawezaje kuandika vizuri hivi Mkuu harafu usijue kuwa Mwiguru anahusika na hizi kodi au ulijifunza kunyoosha mistari tuu Choicevariable....
 
Mtu anakwambia ooh Kuna utitiri wa Kodi Mwigulu ajiudhuru,huo utitiri aliweka Mwigulu?

Mfano kwenye biashara ya mbao Kuna Kodi zifuatazo
.VAT
Withholding tax
Kibali Cha TFS
Kuna Tozo ya TFS
Kuna leseni ya biashara
Kuna Tozo ya zima moto
Kuna ushuru wa Halmashauri pande zote mbili,
Kuna ushuru wa taka
Kuna ushuru wa nemc

Hapo zipo 10 Bado waomba Rushwa nk nk

Acha uongo


Wanalalamika na Mwigulu kukimbia kupeleka mswada wa sheria kandamizi bungeni bila kufanya field research

Yeye ana observe mambo kutokea ofisin kwake asitake kujua kwenye field mambo yapoje
 
Acha uongo


Wanalalamika na Mwigulu kukimbia kupeleka mswada wa sheria kandamizi bungeni bila kufanya field research

Yeye ana observe mambo kutokea ofisin kwake asitake kujua kwenye field mambo yapoje
Acha upuuzi,Mswaada uko wapi? Swala la Kodi sio la Mwigulu ni la Serikali,upeleke Mswaada bungeni wa kuondoa Kodi mapato yatakayopotea yatatoka wapi?
Serikali sio wajinga harafu hii Nchi haina mjomba wa kuijenga
 
Kama mtu ni mfanyabiashara anajua madhira wanayopitia. Wewe ambae haufanyi biashara tulia tu. Lakini mimi naona ipo siku hii nchi nzima itaamua kusitisha kufanya biashara jwa siku tuone hayo mapato watapata wapi. VAT 18% n kubwa sana apo Kenya kwao ni 16% sasa sijui serikali yetu inakwama wapi itafika wakati tuhamie nchi nyingine maana apa serikali haisikilizi wadau wa biashara na kodi
 
Unawezaje kuandika vizuri hivi Mkuu harafu usijue kuwa Mwiguru anahusika na hizi kodi au ulijifunza kunyoosha mistari tuu Choicevariable....
Anahusikaje Sasa,mbona hutaji anavyohusika? Hizo Kodi ziko miaka nenda Rudi tena walau saizi Serikali imepunguza.

Mtu analalamikia leseni mara service levy Sasa Hilo ni swala la Mwigulu? Serikali haiwezi kukubali kuondoa Kodi kienyeji hivyo,walishasema Bungeni kwamba watapunguza na wanafanya hivyo ila.kwa awamu huwezi fanya overnight
 
Back
Top Bottom