Mgogoro wa Irani: Je, Njia ya Bomba Inaweza Kuwa Suluhisho la Kupitisha Mafuta Njia Nyingine badala ya Kupitia Mlango wa Bahari wa Hormuz?

Mgogoro wa Irani: Je, Njia ya Bomba Inaweza Kuwa Suluhisho la Kupitisha Mafuta Njia Nyingine badala ya Kupitia Mlango wa Bahari wa Hormuz?

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
8,988
Reaction score
11,862
Wadau wa JF,
Kutokana na mgogoro unaoendelea Iran na umuhimu wa Mlango wa Bahari wa Hormuz katika usafirishaji wa mafuta duniani, kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu kama kuna njia mbadala ya kupitisha mafuta bila kutegemea njia hiyo.

Screenshot_20260313_160555_LinkedIn.jpg


Swali kubwa lililojadiliwa ni:
Je, mabomba ya mafuta (pipelines) yanaweza kuwa suluhisho la kupitisha mafuta kwa njia nyingine badala ya kupitia Mlango wa Bahari wa Hormuz?
Mada hii imejadiliwa kwa undani zaidi na kwa mtazamo wa kitaalamu na mtaalam wa sekta ya mafuta kwenye LinkedIn, ikieleza changamoto za kusafirisha mafuta kwa malori, gharama zake, pamoja na uwezekano wa kutumia mabomba ya mafuta kama suluhisho.

Kwa yeyote anayependa kufuatilia mjadala huo kwa undani zaidi, anaweza kupitia hapa:
 
Mafuta yatapita hapo hapo, Iran washamchosha vibaya mno, washalainisha viingo vyote bado kumpaka mafuta tu.
Kwenye vita vya kisasa mwenzako akishatawala Airspace yako na eneo la bahari basiii - kwishaa. Anakubokoa muda anaotaka yeye huna rada inayofanya kazi huna lolote.

Sasa hivi serikali inafanya kazi kwa simu, hakuna kufika ofisini- kuvizia vizia kujificha kwa wananchi kama shelter.

Hawa jamaa walionywa sana hawakusikia, wakataka ati kujipima ubavu na miamba wa vita US + IDF. Unatokaje hapo? Yaani ni sawa na Tabata Veterani iombe mechi na Simba SC.
 
Mafuta yatapita hapo hapo, Iran washamchosha vibaya mno, washalainisha viingo tayari.
Kwenye vita vya kisasa mwenzako akishatawala Airspace yako na eneo la bahari basiii - kwishaa.

Sasa hivi serikali inafanya kazi kwa simu, hakuna kufika ofisini- kuvizia vizia kujificha kwa wananchi kama shelter.

Hawa jamaa walionywa sana hawakusikia, wakataka ati kujipima ubavu na miamba wa vita US + IDF. Unatokaje hapo? Yaani ni sawa na Tabata Veterani iombe mechi na Simba SC.
Mikwara hiyo 😅😅acha wapigane
 
Mafuta yatapita hapo hapo, Iran washamchosha vibaya mno, washalainisha viingo tayari.
Kwenye vita vya kisasa mwenzako akishatawala Airspace yako na eneo la bahari basiii - kwishaa. Anakubokoa muda anaotaka yeye huna rada inayofanya kazi huna lolote.

Sasa hivi serikali inafanya kazi kwa simu, hakuna kufika ofisini- kuvizia vizia kujificha kwa wananchi kama shelter.

Hawa jamaa walionywa sana hawakusikia, wakataka ati kujipima ubavu na miamba wa vita US + IDF. Unatokaje hapo? Yaani ni sawa na Tabata Veterani iombe mechi na Simba SC.
Yatapita lini?
Na kama wameshafanya vyooote hivyo ulivyoorodhesha kwanini wasipite sasa?
🙏
 
Kwa akili zak
Jadili hoja mkuu,
Kama vimebaki katika mahabdaki ya siri unahakika yamebaki kiasi gani Mkuu?
🙏
Ndiyo nakwambia hivi hakuna vita huko - Iran washamchoshaa. Kama we ni mshabiki wake pole.
Ni mjinga pekee aliyefikiri kwamba Iran inaweza kusimama na kuwadunda US na Islael.

Mafuta yatapita hapo hapo wala usiwe na hofu. Tunza hili bandiko langu.
 
Binafsi ninahisi kutokakana na location ya Iran pale ilipo hata wakiamua kutumia bomba bado ikitoka mzozo na irani wanaweza kuliharibu hata kwa kombora,
Best way ni kuhakikisha Dunia inawasimia kidete USA na Israel waache uchokozi usiokuwa na sababu za msingi.
🙏
 
Kwa akili zak

Ndiyo nakwambia hivi hakuna vita huko - Iran washamchoshaa. Kama we ni mshabiki wake pole.
Ni mjinga pekee aliyefikiri kwamba Iran inaweza kusimama na kuwadunda US na Islael.

Mafuta yatapita hapo hapo wala usiwe na hofu. Tunza hili bandiko langu.
Kwanini yasipite leo na wameshamchosha?
Hivi kati yangu mimi na wewe nani wakupimwa akili Boss?
Yani umelishwa propaganda unashindwa hata kutumia akili ulizonazo mkuu??
Msimamo wangu juu ya hii vita ninaueleza kila siku,
"Iran atashindwa kwenye hii vita kutokana na sababu zaidi ya tano ambazo nilishazieleza lakini si kirahisi kama wengi mnavyodhani"
🙏
 
Hormuz haikwepeki hata iweje. Kumbuka bidhaa zinazopitishwa hapo sio mafuta pekee,kuna gesi( LNG na LPG), mbolea(utasafirisha mbolea kwa bomba?), petrochemical products zinazotumika kutengeneza plastic ( utazisafirisha kwa bomba pia?). Lakini pia mabomba hayo yataanzia wapi na kuishia wapi? Yatahitajika mabomba mangapi? Lakini pia kwa nchi kama UAE na Oman, Hormuz ziko karibu sana yaani mlangoni kwao,hawawezi wakaacha kutumia hata iweje.
All in all,Hormuz haikwepeki na hapa Iran kajua kuishika dunia
 
Nimeona waziri mkuu kwenye video sijui ni AI, kakonda kama mbwa koko😅😅mpaka amekuwa na vidole sita😅
Iran washabokolewa, wabakie kuvizia kujilipua tu kwenye office za ubalozi wa US na Islael katika nchi za Uarabuni.
 
Kwa akili zak

Ndiyo nakwambia hivi hakuna vita huko - Iran washamchoshaa. Kama we ni mshabiki wake pole.
Ni mjinga pekee aliyefikiri kwamba Iran inaweza kusimama na kuwadunda US na Islael.

Mafuta yatapita hapo hapo wala usiwe na hofu. Tunza hili bandiko langu.
You sound like idiot
 
😅😅😅Wenzie wanataka kutumia nuclear bomb na chemical ..Hawana bomu jingine 😅😅..Watu wako barabara huko wanafanya maandamano ya amani ...Umekaa hapo na ushamba wako unaweza ujinga .
🤣🤣 Hana Akili anadhani Jf ni Facebook anajadili mambo yanayo taka fact na reference Kwa hisia , jinga kabisa
 
🚨 BREAKING: 🇺🇸🇮🇷 US Secretary of Defense Pete Hegseth declares today will mark the most intense day of strikes on Iran yet in the ongoing US-Israel war against the Islamic Republic.

In a Pentagon briefing alongside Chairman of the Joint Chiefs General Dan Caine, Hegseth stated that American and Israeli forces have already hit over 15,000 targets since the conflict began on February 28, devastating Iran's military capabilities—including its air defenses, air force, navy, and missile production.

He emphasized:
"Today will be yet again our most intense day of strikes inside Iran — the most fighters, the most bombers, the most strikes... the highest volume of strikes that America has put over the skies of Iran and Tehran."

The war, now in its second week, has escalated rapidly since the initial strikes that killed former Supreme Leader Ali Khamenei.
 
Binafsi ninahisi kutokakana na location ya Iran pale ilipo hata wakiamua kutumia bomba bado ikitoka mzozo na irani wanaweza kuliharibu hata kwa kombora,
Best way ni kuhakikisha Dunia inawasimia kidete USA na Israel waache uchokozi usiokuwa na sababu za msingi.
🙏
Yaani hapo Mashariki ya Kati,jiografia yao tu ni sababu tosha kuwa migogoro na mapigano havitakaa viishe. It is tricky kwa kweli.
 
Binafsi ninahisi kutokakana na location ya Iran pale ilipo hata wakiamua kutumia bomba bado ikitoka mzozo na irani wanaweza kuliharibu hata kwa kombora,
Best way ni kuhakikisha Dunia inawasimia kidete USA na Israel waache uchokozi usiokuwa na sababu za msingi.
🙏
Iran inaongozwa na watu wanao tumia miguvu mingi bila kutumia akili.
 
Back
Top Bottom