Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,810
- 11,979
TBC, Temeke kuingia kwenye mgogoro
Shirika la utangazaji Tanzania na Manispaa ya Temeke huenda zikaingia kwenye mgogoro baada ya ofisi ya mkuu wa wilaya kwa kushirikiana na Mkurugenzi kuvamia eneo linalomilikiwa na TBC eneo la Tazara na kuanza kuwagawia wananchi maeneo ya biashara.
Eneo hilo linamilikiwa kisheria na TBC, lakini licha ya uongozi wa TBC kupitia Mkurugenzi wa huduma za Redio kuutafuta uongozi wa Manispaa ya Temeke na mkuu wa Wilaya Jokate Mwegelo ambao wamekuwa hawapokei simu wala kutoa ushirikiano.
Hadi muda huu Manispaa inaendelea kuwagawia wananchi maeneo ya biashara katika eneo hilo..
Shirika la utangazaji Tanzania na Manispaa ya Temeke huenda zikaingia kwenye mgogoro baada ya ofisi ya mkuu wa wilaya kwa kushirikiana na Mkurugenzi kuvamia eneo linalomilikiwa na TBC eneo la Tazara na kuanza kuwagawia wananchi maeneo ya biashara.
Eneo hilo linamilikiwa kisheria na TBC, lakini licha ya uongozi wa TBC kupitia Mkurugenzi wa huduma za Redio kuutafuta uongozi wa Manispaa ya Temeke na mkuu wa Wilaya Jokate Mwegelo ambao wamekuwa hawapokei simu wala kutoa ushirikiano.
Hadi muda huu Manispaa inaendelea kuwagawia wananchi maeneo ya biashara katika eneo hilo..