Mgogoro katika mahusiano yangu

Mgogoro katika mahusiano yangu

sunv

Member
Joined
May 19, 2020
Posts
44
Reaction score
33
Habari wakuu,

Nina mpenzi wangu ambaye nimekua nae kwenye mahusiano kwa muda mrefu sasa, hapo nyuma kidogo tulitofautiana kauli, na alichukizwa saana na maneno niliyomwambia, basi zimepita kama siku mbili nikamuomba appointment lengo tuweke mambo sawa.

Tulikutana akaniambia kwa sasa nimemvunja saana moyo kwa kile nilichomwambia, basi nikamuomba ajaribu kusahau maana binadamu tumeumbiwa makosa, akasema sawa lakini sidhani kama ntarudi kwenye hali iliyokuepo hapo mwanzo, nikamsihi saana.

Ila bado akanonekana kama ana kinyongo na Mimi, ila usiku wa jana akanitoa out kwa gharama zake mwenyewe akasema nisitoe chochote tuka-spend kama laki moja.

Naomba ushauri wenu wakuu vipi niendeleze mahusiano nae au na mm nianze kuwa na kinyongo kama yeye?
 
Duuh chukua yote mawili zingatia maslahi yako, kama unapenda mteremko vile au nakosea?
 
Kujibu swali lako la mwisho mpk nijue nani anaeburuzwa kwenye hayo mapenzi..😅
 
Una hakika na huu umri wako?

We ulitakaje kwani ili ndo uamini kuwa yemeisha? Kwahiyo hadi kaka unatolewa out unalipiwa laki ya kula na kunywa bado unahisi hayajaisha?

Au shida yako tu utusimulie kuwa binti kakutoa outing ya laki? Maana kwa maelezo yako mbona hakuna mgogoro wowote hapo
 
Una hakika na huu umri wako?

We ulitakaje kwani ili ndo uamini kuwa yemeisha? Kwahiyo hadi kaka unatolewa out unalipiwa laki ya kula na kunywa bado unahisi hayajaisha?

Au shida yako tu utusimulie kuwa binti kakutoa outing ya laki? Maana kwa maelezo yako mbona hakuna mgogoro wowote hapo
Yeah ndo umri wangu,
Hapo kwenye mgogoro ulikuwepo Tena mkubwa maana niliwekwa mpaka blacklist kwa siku kadhaa
 
Habari wakuu, nna mpenzi wangu ambae nimekua nae kwenye mahusiano kwa muda mrefu sasa, hapo nyuma kidogo tulitofautiana kauli, na alichukizwa saana na maneno niliyomwambia, basi zimepita kama siku mbili nikamuomba appointment lengo tuweke mambo sawa, tulikutana akaniambia kwa sasa nimemvunja saana moyo kwa kile nilichomwambia, basi nikamuomba ajaribu kusahau maana binadamu tumeumbiwa makosa, akasema sawa lakini sidhani kama ntarudi kwenye hali iliyokuepo hapo mwanzo, nikamsihi saana. Ila bado akanonekana kama ana kinyongo na Mimi, ila usiku wa jana akanitoa out kwa gharama zake mwenyewe akasema nisitoe chochote tukaspend kama laki moja. Naomba ushauri wenu wakuu vipi niendeleze mahusiano nae au na mm nianze kuwa na kinyongo kama yeye?
Kama hukijui, hicho ndiyo kibuti.

Ushaachwa hapo. Songa mbele.
 
Kama unampenda na hajakuacha tulia mkuu enjoy maisha pamoja nae, kama humpendi tumia nafasi hiyohiyo kumuacha pia, hakuna mahusiano yasiyo na migogoro maana hata mahusiano ya nchi na nchi pia yana migogoro wakati mwingine, sembuse watu tu mkuu?
 
Hizo hela nilimhonga mimi, usipende kula vya wanaume
Habari wakuu,

Nina mpenzi wangu ambaye nimekua nae kwenye mahusiano kwa muda mrefu sasa, hapo nyuma kidogo tulitofautiana kauli, na alichukizwa saana na maneno niliyomwambia, basi zimepita kama siku mbili nikamuomba appointment lengo tuweke mambo sawa.

Tulikutana akaniambia kwa sasa nimemvunja saana moyo kwa kile nilichomwambia, basi nikamuomba ajaribu kusahau maana binadamu tumeumbiwa makosa, akasema sawa lakini sidhani kama ntarudi kwenye hali iliyokuepo hapo mwanzo, nikamsihi saana.

Ila bado akanonekana kama ana kinyongo na Mimi, ila usiku wa jana akanitoa out kwa gharama zake mwenyewe akasema nisitoe chochote tuka-spend kama laki moja.

Naomba ushauri wenu wakuu vipi niendeleze mahusiano nae au na mm nianze kuwa na kinyongo kama yeye?
 
Back
Top Bottom