hayo kwa kweli ni maneno ya wafanya biashara huo mgodi sio rahisi kufungwa soon, utafungwa labda kwenye 2011-12, sasa hiyo ni lugha ya kujifanya wanapata hasara ili waingie kwenye misamaha ya kodi,
sio siri katika Tanzania sidhani kama palishawahi kuwa na mgodi kama wa Tulawaka, ni mgodi mdogo sana lakini ndio mgodi unaotoa dhahabu nyingi kuliko yote TZ, can u imagine, huo mgodi ndio uliojenga mgodi wa buzwagi ambao ndio utakua mgodi mkubwa kuliko yote Tz,
pamoja na plan za kufunga huo mgodi, ukifika katika vijiji ambavyo vimeuzunguka huo mgodi utashangaa maana kuna umaskini wa kutupwa,
hii nchi nadhani viongozi wetu sio wazima kunako ubongo