Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Na kutesa wafanyakazi wazawaWatapewa wachina
Hao wachina watatuibia hadi nyasi
Siwapend wachina wanyanyasaji sana
Na kutesa wafanyakazi wazawaWatapewa wachina
Hao wachina watatuibia hadi nyasi
Siwapend wachina wanyanyasaji sana
Uliibiwa nini? Usikute upo Marekani na Mangehata wakiondoka poa walituibia sana wacha waende
Waliingia kwa mikataba iliyosainiwa na mamlaka halali za nchi huru ya Tanzania. Tena mamlaka hizo zilisaini kwa kiburi na jeuri ya madaraka!
Kwa hiyo walichukua walichopewa na wenye mamlaka.
walikuibia nini?hata wakiondoka poa walituibia sana wacha waende
Ilikuwa halali, ila ilisainiwa kwa kiburi cha madaraka.Ilikuwa mikataba feki
Yawezekena maisha pia yalikuwa yanaguswa kwa namna nyingineMlikuwa mnafaidi huko?
Yaelekea mgodi umefika mwisho wa uzalishaji.
Mazingira ya nchi hii kwa sasa ni vigumu sana kufanya business. Mahali ambapo you can't predict what will happen tomorrow ni pagumu sana kuwekeza.
Uwekezaji ambao nchi haipati cho chote ni wizi wa maliasili. Hatutaki such business. Waondoke, madini huwa hayaozi iko siku hata vitukuu vyetu vitakuja kuwa na uwezo wa kuyachimba.Mazingira ya nchi hii kwa sasa ni vigumu sana kufanya business. Mahali ambapo you can't predict what will happen tomorrow ni pagumu sana kuwekeza.
Leo ni mwisho wa ku register kushiriki mnada huu.Ngoja j3 niwai kununua shimo mojaa palee
Ngoja tuone itakavyo kuwaLeo ni mwisho wa ku register kushiriki mnada huu.
Registration fee ni Sh. 100,000/-
Hii inakua used in English sio kwenye kiswahili."Wauza" simple present in this context ndio lugha sahihi; hususan uandishi wa habari.
Hivyo ilivyo ni sahihiHii inakua used in English sio kwenye kiswahili.
Sorry for being out of content
Nsagali ni jina la KisuQuma kweli?Watu wanamikwanja, nasikia huko nje kuna wasukuma kumi wamejitokeza kuununua huo mgodi akiwemo nsagali baraka nchambi, pia nasikia vijana wa rostam wameshatia team, kuanzia jana hotel kubwa zimejaa wageni.