Final withholding tax maana yake nini? yaani kampuni lilipe kodi na mtumiaji alipe kodi?
Walala hoi tutazima simu kwa muda na kuridia analojia yaani stampu...
Final withholding tax maana yake nini? yaani kampuni lilipe kodi na mtumiaji alipe kodi?
Nafikiri lile wazo la kuzima simu wananchi wote linatakiwa lifanyiwe kazi vizuri......hii serikali imekuwa na njaa kiasi imeamua kutafuna watoto wake.
Hapa hakuna fedha ya maendeleo inayokusanywa fedha hizi ni maandalizi ya CCM kwa ajili ya uchaguzi 2015 na ndo maana wanalazimisha.
Wananchi wenyewe wanalalamikia ukosefu wa huduma na baada ya Serikali kupitia na kufanyia kazi changamoto hizo, imeridhia kodi hizo wanakuja watu wanalalamika, alisema.
Source: Habari Leo
Ana haki kujiropokea atakavyo maana yeye ametengewa bajeti ya mawasiliano hivyo haitamdhuru!
Sawa mstari umechorwa...
Umenikumbusha wimbo wa Masanja wa TOT, Mchimba kaburi aingia mwenyewe. Uamuzi huu wa ccm ni kitanzi chao wenyewe. Nape alishituka lakini nadhani waziri haja fore see impact yake kwenye siasa. Waziri kashindwa kutambua kuwa policy za uchumi zina muingiliano mkubwa na siasa za nchi. Atakuja shuhudia matokeo yake!