Mgeni wa ajabu

kahama one

Member
Joined
Jan 14, 2017
Posts
53
Reaction score
37
Kuna jamaa (Alex si jina halisi) imemtokea alipikigiwa simu na class mate wake (tumwite Daniel) anatokea Mwanza anaenda Arusha sasa jamaa akaomba hifadhi ya siku kadhaa awapo Arusha.

Alex amepanga chumba kimoja na anaishi pekee, kisela akaona hamna shida wataishi pamoja, Alex alimpokea rafiki Daniel.

Kimbembe ilipofika usiku wakati wa kulala, Daniel akainuka akaenda kwenye begi lake akachukua kondomu akavaa na akarudi kitandani kulala bila kusema kitu huku Alex akishuhudia kila kitu.

Ungekua wewe ndo Alex mwenye chumba ungefanyaje?
 
Hii story ndio inasimuliwa sa hv kua ndio kiachotokea au asubh yao ilishafika tayar?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] damn it
 
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kudadadeki zake anapigwa alafu na ataenda kulala kwingine maana sio mtu mzuri kabisaaa
 
Mimi nalitoa gegedo alafu nalipaka KY huku anashuudia laivu,
Sipendagi ujinga mimi
 
Mwanaume kama unajiamini kwann uogope?!...labda jamaa kikojozi analinda asikojolee godoro lako
 
Hapo inatakiwa uwe na msimamo uliothabit ikiwa mwili unaendeshwa na matamanio sidhani kama atapona mtu.
 

Tupe mrejesho mkuu, ilikuwaje usiku?
 
Huyo jamaa anaotaga ndoto zile za kupiga miti hakutaka kuchafua mashuka ya watu isijeleta taabu na masale shuka linatumika wiki bila kubadilisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…