Mzee tofautisha michezo na burudani na serious issues! Fergie pale anakuwa michezoni ambapo kutafuna Big-G ni jambo la kawaida. Pia hadhi ya wachezaji kwa kocha wao inaweza kufananishwa sana na watoto wake tu, hivyo kuzungumza nao au kuwaelekeza huku akitafuna bazoka ni jambo la kawaida. Kuzungumza na waandishi wa habari ni tofauti kwa kuwa wao wako pale kwa serious issues na kwa niaba ya jamii, na unapowaita na kuwaonyesha dharau, ni moja kwa moja unaidharau jamii wanayoiwakilisha. Huo ndio mtazamo wangu na ni demokrasia kutofautiana!