A. Benchi la ufundi la mpira wa miguu linaundwa na watu mbalimbali wenye majukumu tofauti ya kusaidia timu kufanikisha malengo yake. Kawaida linajumuisha:
1. Kocha Mkuu (Head Coach) – Kiongozi wa benchi la ufundi, anayehusika na kupanga mikakati ya mchezo, mazoezi, na uchaguzi wa wachezaji.
2. Kocha Msaidizi (Assistant Coach) – Husaidia kocha mkuu katika kupanga mazoezi na mbinu za mchezo.
3. Kocha wa Makipa (Goalkeeping Coach) – Anayefundisha na kuwanoa makipa pekee.
4. Kocha wa Viungo au Maandalizi ya Kimwili (Fitness Coach/Conditioning Coach) – Anasimamia mazoezi ya kuongeza uwezo wa mwili, stamina na nguvu za wachezaji.
5. Daktari wa Timu (Team Doctor) – Anahakikisha afya ya jumla ya wachezaji, kushughulikia majeraha na matatizo ya kiafya
6. Mtaalamu wa Tiba ya Mifupa (Physiotherapist) – Anahusika na tiba ya majeraha ya misuli na viungo.
7. Mchambuzi wa Mchezo (Performance Analyst/Video Analyst) – Anachambua mechi kwa kutumia video na takwimu kusaidia benchi kupanga mikakati bora.
8. Mtunza Vifaa (Kit Manager) – Anahakikisha vifaa vya mazoezi na mechi vipo na katika hali nzuri.
Katika baadhi ya timu kubwa kuna pia:
Mtaalamu wa Saikolojia ya Michezo (Sports Psychologist)
Nutritionist (Mtaalamu wa Lishe)
Scout (Mchunguzi wa Wachezaji)
B. Wachezaji wote idadi nzima ya wachezaji waliosajiliwa kwa Msimu Husika.
🚨 𝗦𝗤𝗨𝗔𝗗 𝗬𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 [ MSIMU WA 2024/2025 ]
Wachezaji wa Simba SC walioingizwa kwenye mfumo wa (CAF) :
𝗚𝗼𝗮𝗹𝗸𝗲𝗲𝗽𝗲𝗿𝘀 :
01. 🇬🇳 Moussa Camara
02🇹🇿 Ally Salim
03 🇹🇿 Hussein Abel.
04.🇹🇿 Aishi manula
05 🇹🇿 Feruzi
(6.)* ((((( Ayoub lakred))))))
𝗗𝗲𝗳𝗲𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀 :
04. 🇹🇿 Shomari Kapombe.
05. 🇧🇫 Valentine Nouma.
06. 🇹🇿 Mohamed Hussein.
07. 🇹🇿 Kelvin Kijili.
08. 🇹🇿 David Kameta.
09. 🇨🇮 Chamou Karaboue.
10. 🇹🇿 Hussein Kazi.
11. 🇨🇲 Che Fondoh Malone.
12. 🇹🇿 Abdulrazak Hamza.
𝗠𝗶𝗱𝗳𝗶𝗲𝗹𝗱𝗲𝗿𝘀 :
13. 🇳🇬 Augustine Okejepha.
14. 🇹🇿 Yusuh Kagoma.
15. 🇨🇩 Elie mpanzu
16. 🇨🇩 Fabrice Ngoma.
17. 🇹🇿 Mzamiru Yassin.
18. 🇨🇬 Debora Mavambo.
19. 🇨🇮 Jean Charles Ohoua.
20. 🇹🇿 Denis Kibu.
22. 🇿🇲 Joshua Mutale.
23. 🇹🇿 Ladaki Chasambi.
24. 🇹🇿 Edwin Balua.
𝗦𝘁𝗿𝗶𝗸𝗲𝗿𝘀 :
25. 🇺🇬 Steven Mukwala.
26. 🇨🇲NLeon Ateba
28. 🇹🇿 Valentino Mashaka.
C. Waganga na walozi Gentamimav