Mgawanyiko Chadema kwa maslahi ya nani

Mgawanyiko Chadema kwa maslahi ya nani

lahe

Member
Joined
Oct 13, 2018
Posts
77
Reaction score
56
Inashangaza kuona mgawanyiko wa makundi ndani ya chadema
swali muhimu kwa maslahi ya nani?
 
Inashangaza kuona mgawanyiko wa makundi ndani ya chadema
swali muhimu kwa maslahi ya nani?
Maslahi kwa vyama vingine.Huu mgawanyiko unaendelezwa na viongozi wakuu kwa KUKOSA hekima na maarifa
 
Inashangaza kuona mgawanyiko wa makundi ndani ya chadema
swali muhimu kwa maslahi ya nani?
actually,
no reform no elections ilikua ni kwa maslahi binafsi ya Lisu. Lengo ililitokana na yeye kutokua na pesa ya kampeni wala sera za kunadi, na alipojitathimini akaona hakuna uwezekano kabisaa wa kushinda uchguzi wa October,

kwa ubinafsi huo,
akataka eti chadema wote wakose fursa ya kugombea ubunge na udiwàni ili wawe kama yeye ambae hawezi kitu kwasababu ya ukata.

Hata hivyo,
vyama vingine vya siasa vitapata fursa ya kujipambanua zaidi kwa wananchi 🐒
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom