..halafu tunaambiwa uchumi unakua ilhali nchi ipo gizani. tanzania kwa mazingaombwe lol
Wito wangu ni kwamba CHADEMA waweke bajeti ya taa za chemli na tochi za kutumika kwenye zoezi la uhesabuji wa kura endapo umeme utazima ghafla.
Ahsante Baba-Enock kwa kutuhabarisha