yaani siku mbili tu tayari shosti wangu wa saluni anaipigia ana njaa kaliHii ndo Tanzania na ukiona wametoa tangazo la umeme kukatika ujue tatizo lipo ndani ya uwezo wao, ukiona unakatika kimyakimya ujue hilo tatizo kutatuliwa ni probability
na wewe ni mdau Kashesho?
huku mbeya ni kero tu mpaka saizi ni giza
Basi kote Tanga pia tokea saa1 hadi sasa ni giza tu
G
"Huooooo" unini TB ?
Hii Hali ya Umeme sasa ni janga, maana hata mgawo sio hivi.