Mgao wa umeme mwanza mwendelezo WA escrow

Mgao wa umeme mwanza mwendelezo WA escrow

GTMOJA

Senior Member
Joined
Jul 25, 2012
Posts
100
Reaction score
21
Mwanza mwanza mwanza sasa inakula mgao wa umeme wa zaid ya masaaa sita kweli nchi ya kusadikika no shidaaa
 
Mengi amewahonga Wafanyakazi wa Tanesco wasio waaminifu ili wafanye Hujuma ili Mhongo aharikiwe, huo Mgao wa Umeme ni Hujuma za Mengi si kwamba kana Tatizo.
 
Mwanza mwanza mwanza sasa inakula mgao wa umeme wa zaid ya masaaa sita kweli nchi ya kusadikika no shidaaa

Mgao wa umeme upo nchi nzima si Mwanza tu.Hi hali wanaficha kutangaza jambo ambalo ni uupuzi mtu.Serikali ikubali na ikiri waziwazi imeshindwa.Ushahidi upo waziwazi kutoka kwa mameneja kuwa mgao upo ila wameonnywa kutangaza ili kuficha aibu.Kwa kuogopa kauli ya itakuwa historia
 
This is called irrational thinking
Mengi amewahonga Wafanyakazi wa Tanesco wasio waaminifu ili wafanye Hujuma ili Mhongo aharikiwe, huo Mgao wa Umeme ni Hujuma za Mengi si kwamba kana Tatizo.
 
Mgao wa umeme upo nchi nzima si Mwanza tu.Hi hali wanaficha kutangaza jambo ambalo ni uupuzi mtu.Serikali ikubali na ikiri waziwazi imeshindwa.Ushahidi upo waziwazi kutoka kwa mameneja kuwa mgao upo ila wameonnywa kutangaza ili kuficha aibu.Kwa kuogopa kauli ya itakuwa historia

Wengine tumeamua kuvumilia tunasubiri mwakani tumalize hasira zetu kwa haya MaCCM. Jumatatu hadi Ijumaa mchana hatukuwa na umeme kwa zaidi ya masaa 12 na tumeamua kukaa kimya
 
Nope. Sorry
Ila naweza kudadavua. Kumlaumu mengi kwa sababu ya mgao wa umeme ni kutotumia akili kufanya kazi yale. Like seriously, lini hakujawa na mgao wa umeme bongo? Kuna siku USA umeme ulikatika for a few hrs ilikuwa chaos. Sie kwetu unakatika hata bungeni na ikulu.

Usitake nitoe ya moyoni kaka.
Samahani je unaweza kuandika hii kwa kiswahili?
 
Tumekuwa wanyonge mno kupita kiasi wake up Tanzanians
 
Back
Top Bottom