Ombeni w lema
Member
- Nov 16, 2010
- 22
- 1
Wadau sijawai kuona mkoa unao sumbua kwa umeme kama mkoa kilimanjaro hasa wilaya ya HAI MASHARIKI.kwa wiki tunapata umeme mara mbili tu mchana,siku zinazo fuata ni usiku na kukatika asubui.sasa nauliza tulio jiajiri na tunategemea umeme familia zetu si watakufa njaa?na umasikini ndo unajongea.kama ni hivyo uchumi wa nchi utapanda lini?