MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,330
Mkurugenzi mkuu wa TANESCO Mr. Mramba amesahau kumfukuza kazi Meneja wa TANESCO mkoa wa Arusha hususani manispaa.
Baada ya kuanza kwa mvua za vuli Arusha tumerudi tena kwenye mgao mkubwa wa umeme ambao hauna ratiba inayoeleweka (mara ukatike saa 6 mchana, saa 11 asubuhi au jioni saa 12 , saa 1 jioni) Kwa ufupi tangu June mwaka huu Arusha iko kwenye tatizo kubwa la kukatika umeme na liliisha wakati wa uchaguzi lakini limerudi tena kwa nguvu.
Ni kana kwamba Meneja wa TANESCO Arusha hafanyi lolote kuondoa hali hii ambayo wakazi wengi wameiona kama mambo ya maksudi. Mfano Manyunyu tu yakianza lazima hapa arusha umeme ukatwe.
Umeme wa Arusha hauwaki ikiwepo mvua ni lazima ukatike na hata mvua ikikatika saa 6 mchana lazima umeme urudi saa moja jioni. Hata ikitokea manyunyu yameanza yakakatika baada ya dakika 10 basi hiyo ni sababu tosha ya kukata umeme kwa masaa 7.
Hii kwangu ni uzembe wa meneje ambaye hajawahi toa ufafanuzi kuhusu hili tatizo.
Timu ya kukata umeme iko makini na ina training kuliko ile ya kurudisha umeme. Yaani imekuwa kana kwamba kazi ya Meneja TANESCO Arusha ni kukata umeme.
Tunataka kujua mgao wa umeme Arusha utaisha lini
Baada ya kuanza kwa mvua za vuli Arusha tumerudi tena kwenye mgao mkubwa wa umeme ambao hauna ratiba inayoeleweka (mara ukatike saa 6 mchana, saa 11 asubuhi au jioni saa 12 , saa 1 jioni) Kwa ufupi tangu June mwaka huu Arusha iko kwenye tatizo kubwa la kukatika umeme na liliisha wakati wa uchaguzi lakini limerudi tena kwa nguvu.
Ni kana kwamba Meneja wa TANESCO Arusha hafanyi lolote kuondoa hali hii ambayo wakazi wengi wameiona kama mambo ya maksudi. Mfano Manyunyu tu yakianza lazima hapa arusha umeme ukatwe.
Umeme wa Arusha hauwaki ikiwepo mvua ni lazima ukatike na hata mvua ikikatika saa 6 mchana lazima umeme urudi saa moja jioni. Hata ikitokea manyunyu yameanza yakakatika baada ya dakika 10 basi hiyo ni sababu tosha ya kukata umeme kwa masaa 7.
Hii kwangu ni uzembe wa meneje ambaye hajawahi toa ufafanuzi kuhusu hili tatizo.
Timu ya kukata umeme iko makini na ina training kuliko ile ya kurudisha umeme. Yaani imekuwa kana kwamba kazi ya Meneja TANESCO Arusha ni kukata umeme.
Tunataka kujua mgao wa umeme Arusha utaisha lini