Twilumba
Platinum Member
- Dec 5, 2010
- 13,476
- 16,179
Mgao sakata la escrow ulikuwa 40.4 kila mtu, aliyochukua 160 mil. waligawana 4 na aliyechukua 80.8 waligawana 2, wawaonyeshe waliowagawia
Kuna kitu unatakiwa ukijue;
Watanzania hawana interest ya kujua mgao ulikuwaje, interest kubwa ni nani aliyepata mgao huo?