Mwanasheka
Member
- Feb 26, 2013
- 16
- 4
Hivi kwa nini waganga wa kienyeji a.k.a wapiga ramli hawafungui/hawajengi ofisi zao maeneo ua Upanga, Masaki,Oysterbay? Wengi wao utasikia wako Mbagala,Buguruni..why?
Sababu ni hizi...Hivi kwa nini waganga wa kienyeji a.k.a wapiga ramli hawafungui/hawajengi ofisi zao maeneo ua Upanga, Masaki,Oysterbay? Wengi wao utasikia wako Mbagala,Buguruni..why?
Hivi kwa nini waganga wa kienyeji a.k.a wapiga ramli hawafungui/hawajengi ofisi zao maeneo ua Upanga, Masaki,Oysterbay? Wengi wao utasikia wako Mbagala,Buguruni..why?
Huko kwenye uswahili mwingi hao wa masaki na Oysterbay ndo wanakoshinda kusaka vyeo... Nenda pale Yombo Dovya CCM (Mchalingeni) ukaone VX zinavyopishana kwa mgangauswahili mwingi....
Umaskini unaambatana na mambo mengi
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Sababu ni hizi...
1. Walioko huko wengi ni wa serikalini na ndo waenda kwa waganga wakubwa, hivyo kuwawekea waganga maeneo ya majumbani kwao hawataenda kwa waganga hao.
2. Wanapenda sana kwenda kwa waganga walio mbali na maeneo yao ya kuishi. Na ndiyo maana huko Mbagala, Buguruni ulikokutaja kwa waganga kunapaki ma-VX.
3. Kwa sababu ya kwanza hapo juu huwezi kukuta mganga maeneo hayo kwa sababu wateja wanafuata waganga mbali
Mnadanganyana humu
mnawajua waganga wa wabunge wanaishi wapi?
wanalipwa sh ngapi?
mimi namjua mganga mmoja anaishi Upanga
na nikukutajia wanaokwenda kumuona hapa na wanalipa sh ngapi sijui mtasemaje
Kila jamii ina waganga wake
wa Masaki wana waganga wao na si lazima waishi masaki
but they can afford kuishi masaki trust me...
Tanzania 98 percent ni washirikina
kuanzia mkuu wa nchi mpaka ombaomba barabarani
cc EMT...
. Hili ndo jibu