Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,087
- 1,913
Mganga mfawidhi ametoa majibu sahihi baada ya mtoto aliyefariki kwa kuchapwa viboko na mwalimu wake huko Bukoba
Mganga huyo amesema mtoto huyo alikuwa na majeraha tofauti na yale aliyokuwa amechapwa na mwalimu wake
Majibu hayo yalipelekea wazazi na ndugu wa marehemu kususia mwili wa marehemu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mganga huyo amesema mtoto huyo alikuwa na majeraha tofauti na yale aliyokuwa amechapwa na mwalimu wake
Majibu hayo yalipelekea wazazi na ndugu wa marehemu kususia mwili wa marehemu
Sent using Jamii Forums mobile app