CCM ni ile ile ooghh ni ile ile, acha "wajinyonge" (wacheleweshwe majini) wameipenda wenyewe!!! Hivi aliefanya finishing ya kivuko mbona kama vile kimepigwa "puti" sana hadi rangi imefubaa??
Tatizo la binadamu uwezi kuwa kamili kwa kila kitu lazima tu utakuwa na mapungufu sasa wao wanajiona watakatifu na mmoja wao nakusema atakuwa rais wa malaika wakati ata maandiko yanasema kuna malaika mkuu tayari Gabriel
Duh!! Hii nchi inavituko vya kila aina. halafu mwenyewe anashangaa kwa kusema sijui hii nchi nani ameiloga!! Namshukuru sana Mungu hajawahi kunipa uwezo wakuwaombea watu kama hawa.
Si makosa yake bali ni amri kutoka juu, na hata aliyekula 20% si yeye ila ni .................. ni kama nyumba za serikali ni amri kutoka juu na sio yeye aliyekula 30%.
Tatizo la binadamu uwezi kuwa kamili kwa kila kitu lazima tu utakuwa na mapungufu sasa wao wanajiona watakatifu na mmoja wao nakusema atakuwa rais wa malaika wakati ata maandiko yanasema kuna malaika mkuu tayari Gabriel
Kama kila mtu anapangufu, avumilie basi ya wenzake. La sivyo atoe maelezo juu ya pungufu lake kisha ashughulikie ya wenzie kuliko kukaa kimya utadhani yeye hajawahi kukosea.
Si makosa yake bali ni amri kutoka juu, na hata aliyekula 20% si yeye ila ni .................. ni kama nyumba za serikali ni amri kutoka juu na sio yeye aliyekula 30%.
Ccm hakuna msafi, wore wapigaji na angechaguliwa raid mwingine magu angepandishwa kizimbani kwa ufisadi ndani ujenzi aliyoiongoza kwa mda mrefu. Sioni jonsi mtu aliyeshindwa kusafisha wizara akaweza kusafisha nchi
Kwani nani aliye kwambia waliopo chadema ndio wasafi? We ni mgeni wa siasa za Afrika eti? Kwani ulimsikia yule mgombea wamarekani juzi alivyokuwa anaongelea kuhusu viongozi wa Africa
Kwani nani aliye kwambia waliopo chadema ndio wasafi? We ni mgeni wa siasa za Afrika eti? Kwani ulimsikia yule mgombea wamarekani juzi alivyokuwa anaongelea kuhusu viongozi wa Africa
Ccm hakuna msafi, wore wapigaji na angechaguliwa raid mwingine magu angepandishwa kizimbani kwa ufisadi ndani ujenzi aliyoiongoza kwa mda mrefu. Sioni jonsi mtu aliyeshindwa kusafisha wizara akaweza kusafisha nchi