Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,368
Katika mazoezi ya mgambo kutafuta wanajeshi.uliwadia muda wakulenga shabaa,kamanda wa kikosi akasikia mmoja wa mgambo wake anamwaga risasi kama rambo,akamfuata akaangalia wapi alipopiga,akakuta hajalenga hata risasi moja kwenye ile karatasi ya shabaa.akamuuliza
kamanda-mbona hujapata hata point moja kwenye kulenga shabaa?umebakiwa na risasi ngapi?
Mgambo-siwezi,na nimebaki na risasi moja
kamanda-(kwa hasira)nenda kule msituni kajiue nayo kichwani ufie hukohuko.
Mgambo akaondoka akaenda porini kujipiga.dk2 zikaisha huku kwa kamanda wakasikia mlio wa risasi,kamanda akaamua kwenda kumwangalia kama jamaa amejipiga kweli,hata hajafika porini anakutana na mgambo anarudi.
Kamanda-wee sinilikuambia uende ukajiue
mgambo-nimejipiga ila nimejikosa.
kamanda-mbona hujapata hata point moja kwenye kulenga shabaa?umebakiwa na risasi ngapi?
Mgambo-siwezi,na nimebaki na risasi moja
kamanda-(kwa hasira)nenda kule msituni kajiue nayo kichwani ufie hukohuko.
Mgambo akaondoka akaenda porini kujipiga.dk2 zikaisha huku kwa kamanda wakasikia mlio wa risasi,kamanda akaamua kwenda kumwangalia kama jamaa amejipiga kweli,hata hajafika porini anakutana na mgambo anarudi.
Kamanda-wee sinilikuambia uende ukajiue
mgambo-nimejipiga ila nimejikosa.