Mfungo umeisha mema tuyaendeleze

Mfungo umeisha mema tuyaendeleze

mbogodj

Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
65
Reaction score
13
Mstaarabu wa kweli hasubiri mwezi mtakatifu/ mwezi wa mfungo kufanya yaliyo mema machoni kwa watu.

My take tuachane na utaratibu wa vurugi fujo zisizo za maana wakati wakufungua na baada ya kufungua.
Si ajabu kuona MTU kesho kaamkia bar ,guest kisa alikua mfungo na kafungua .tunakua hatujafanya chochote zaidi ya kupunguza bajeti ya chakula kwenye familia kwa siku 30.

Nawatakia eid njema wadau wote.. .........
 
ImageUploadedByJamiiForums1406614745.706042.jpg


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Wengne wamefanya mabaya wakiwa kwenye mfungo sembuse ulivyoisha noma sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom