Mfungo na adha zake

Mm nafikiri wangeweka sound proof msikitini ili sauti isisikike, pia swala la hao wapiga ngoma huku kwetu wamewekeana mipaka, ukiingia kwy mipaka ya mtu mwingine ni vita.
mbona makanisa hayajawekewa bell proof katika kengele?
 
Na wakristu zile kengele!
Nao wanawalazimisha waislamu,nao pia waache basi.. Au wasemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…