Ukishamlazimisha mtu kusikiliza adhana,tena ya mahubiri, ushamlazimisha mtu kufuata dini.
Kama dini hailazimishwi, adhana isipigwe misikitini kiasi cha kuwafikia watu ambaohata si Waislamuna hawataki kuwa Wasilamu.
Kwao ni kelele za kero tu.
Karaha tu.
Mnawalazimisha kitu ambacho hawakitaki.