Mfundaji anahitajika

Mfundaji anahitajika

Joined
Jan 9, 2013
Posts
39
Reaction score
30
Habari zenu humu ndani kwa wale wanaojua wafundaji wazuri wa kufunda mtoto wa kike tafadhali achieni namba zao humu ndani ila mfundaji huyo awe tayari kusafiri kuletwa mkoa wa ajili ya shughuli hiyo.
 
Daah akiwa mwanaume vipi?halafu wawe wanajifungia chumbani(anamfunda) usiku na mchana!!
 
Mlete hapa huyo mwali kuna wataalam wa vigodoro humu atafundika tu!
 
Mlete kwanza tujaribu na penseli sio unasena mwali kumbe watu wameshafungua njia ya mabasi ya kwenda kasi kabla haijazinduliwa rasmi
 
Teh teh Haya haya hayaaaaaaaaaaaaa makungwi dili hilo chap chap jikamatie mkwanja
 
mm ni mfundaji originale kabisa naninatoa somo mpaka binti anaelewa na anajua maana ya ndoa ni nini? uko mkoa gani bestito?
Habari zenu humu ndani kwa wale wanaojua wafundaji wazuri wa kufunda mtoto wa kike tafadhali achieni namba zao humu ndani ila mfundaji huyo awe tayari kusafiri kuletwa mkoa wa ajili ya shughuli hiyo.
 
hahahahaaaaaaaa bestito ndo nimetia timu hapa kuna kazi ya KUFUNDA nimeoona nimeshamwambia aniambie alipo niende nikampe somo maridhawa huyo mgoli wake kama yuko tayari na serious kwani kazi hii ndo inanihusu sana au mamito nimtwangie humuhuumu nini halafu yeye amprintie mwanae akamwambie asome?
Cc @ladyfurahia
 
Habari zenu humu ndani kwa wale wanaojua wafundaji wazuri wa kufunda mtoto wa kike tafadhali achieni namba zao humu ndani ila mfundaji huyo awe tayari kusafiri kuletwa mkoa wa ajili ya shughuli hiyo.

Mtafute mama mmoja anaitwa Mwajuma Matakomengi, wa Magomeni.
 
Back
Top Bottom