Mfumo wa Utumaji wa maombi ya Kazi US Embassy-Tanzania Unakera

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,237
Hawa jamaa wako rigid sana kwanza mpaka leo wanatumia Posta pili mfumo wao wa mpaka ujaze form ndefu ya DS-174 mimi kwangu ni usumbufu Pia Mishahara yao hawa disclose Nawashukuru British high Commissioner (Dar es Salaam) wako smart sana Unatuma maombi kwa njia ya Email hakuna mambo ya Posta na Mshahara huwa wanautaja.
 
Hawa jamaa wako rigid sana kwanza mpaka leo wanatumia Posta pili mfumo wao wa mpaka ujaze form ndefu ya DS-174 mimi kwangu ni usumbufu Pia Mishahara yao hawa disclose Nawashukuru British high Commissioner (Dar es Salaam) wako smart sana Unatuma maombi kwa njia ya Email hakuna mambo ya Posta na Mshahara huwa wanautaja.
Sasa tatizo nini hapo.? Na una uhakika British High Commissioner hawawekagi post address kwenye matangazo yao ya kazi.? US EMBASSY mbona wanapokea mpaka kwa mkono na huwa Wanasema namba ya geti la kupeleka maombi kwa mkono.
 
Hawa jamaa wako rigid sana kwanza mpaka leo wanatumia Posta pili mfumo wao wa mpaka ujaze form ndefu ya DS-174 mimi kwangu ni usumbufu Pia Mishahara yao hawa disclose Nawashukuru British high Commissioner (Dar es Salaam) wako smart sana Unatuma maombi kwa njia ya Email hakuna mambo ya Posta na Mshahara huwa wanautaja.
Lakini pia mkuu anayetoa ajira, anaweza akaweka taratibu anazoona zinamfaa hata kama zitamuumiza muombaji...
 
Hao us embassy unawaoanea tu,nimefanya nao interview last year,wako smart sana,hawana longolongo za desaini ya utumishi za kuita watu 2000 kwa nafasi moja ya kazi.
 
mimi nikiona tangazo lao naishiwa nguvu kuomba hizo form z DS-175 ni page 6 unadownlod halafu ukisoma vizuri tangazo wanakwambia mtu mwenye uraia wa marekani atapewa kipaumbele na kunaform anatakiwa kujaza so unatumia gharama kubwa kazi ambayo possibility ya kupata ni ndogo
 
mimi nikiona tangazo lao naishiwa nguvu kuomba hizo form z DS-175 ni page 6 unadownlod halafu ukisoma vizuri tangazo wanakwambia mtu mwenye uraia wa marekani atapewa kipaumbele na kunaform anatakiwa kujaza so unatumia gharama kubwa kazi ambayo possibility ya kupata ni ndogo
Mkuu Nadhani umesahau ule msemo unaosema kuwa kuomba kazi nako ni kazi
 
Yaani huwa nikiona matangazo yao huwa naachana nao, tonnage lina masharti kama unaomba kwenda mbinguni bn
 
Hao us embassy unawaoanea tu,nimefanya nao interview last year,wako smart sana,hawana longolongo za desaini ya utumishi za kuita watu 2000 kwa nafasi moja ya kazi.
British high commission naona hujawahi kufanya interview ni Application letter na CV. Mambo mengine baadaye Mshahara Uko wazi kwa figer zake.
 
Yaani huwa nikiona matangazo yao huwa naachana nao, tonnage lina masharti kama unaomba kwenda mbinguni bn
hata mimi mkuu Marekani wanajiona sana Ubalozi wa Uingereza huwa wanatoa kazi kwa Tanzanian nationals tofauti na marekani wanasema Raia wa marekani watapewa kipao mbele.
 
nimefanya nao usaili juzi juzi tu hapa
.kwa mtazamo wangu wako poa sana
 
Hawa jamaa wako rigid sana kwanza mpaka leo wanatumia Posta pili mfumo wao wa mpaka ujaze form ndefu ya DS-174 mimi kwangu ni usumbufu Pia Mishahara yao hawa disclose Nawashukuru British high Commissioner (Dar es Salaam) wako smart sana Unatuma maombi kwa njia ya Email hakuna mambo ya Posta na Mshahara huwa wanautaja.
Hivi hawa jamaa ile nafasi ya shipping assistant walishaita watu kwenye usaili?
 
Niliona bandiko mda ila nikajua kama kuna usanii mkuu hta sikufatilia vip wameisha fanya usaili
 
Back
Top Bottom