ukishachaguliwa utakuwa informed na utapewa muda ufanye confirmation kama utajiunga au la.uki confirm wanawasalisha jina TCU usipo confirm nafasi inakuwa wazi kwa wengine kufanya application kwahiyo hamna uwezekano wa chuo kukosa wanafunzi lkn kuna uwezekano wa wanafunzi kukosa vyuo.
Simple solutions to complex problems are always the best.
1. Waombaji wenye sifa walioomba kozi hii kama chaguo lao la kwanza wote wapate.
2. Je, bado nafasi bado zipo? Kama nafasi bado zipo, zijazwe na waliochagua kozi hii kama chaguo lao la pili.
3. Endelea vivyo hivyo kwa machaguo mengine mpaka nafasi zijae au waombaji wenye sifa waishe.
4. Ushindani wa cut-off points ni miongoni mwa kila chaguo.
Kwa utaratibu huo, watakaopata nafasi walio wengi ni wale waliochagua kozi husika kama chaguo la kwanza. Hawa walio wengi wao wataenda kwenye kozi husika.
No problem!
kuchaguliwa chuo hawaangalii Division yako wanaangalia cut off points zinazohitajika katika hiyo course uliyo apply kwahiyo swala la kupata Division III siyo issue,issue ni kwamba umefikia cut off points za hiyo course au la.Bora zamani,tulikuwa tunajaza kabisa kama umeomba vyuo vingi (Multiple Selection),lakini hii ya mwaka huu kuna mkanganyuko mkubwa sana.Ngoja tusubiri nawaonea huruma wale wenye Division III tuu
Its obvious watatoa nafasi tena kwasbabu siyo wote watakaochaguliwa batch 1.Huoni kama hata nafasi ya
Muda utaaasema tu, niaonacho inabidi TCU wafanye utaratibu Wa kutoa naafasi ya watu kuomba tens maana kwenye awamu ya kwanza vyuo karibia vyote vitangangania wale wenye div one na vitaona viefikisha idadi takiwa kumbe waliyemchagua ndiye Huyo huyo kachaguliwa na vyio vingine kwa kigezo cha ufaulu
NdioNa pia kna wanfunz kukosa vyuo kutokana na ku apply vyuo vichache na ufaulu mdg
Hyo mbona safi tu ila kwa muhimbil asahau labda udom nkJamani mnanipandishaa roho juu juu hatare ivi kwa muhitimu wa PCB mwenye chemistryB physicsD na Bios C anaweza pata nafasi muhimbili kwa kozi ya phermacy au udom medicine au aanze kutafta mtaji tuu apambane na hali yake
Duu aisee ngoja tusubili kozi lengo lake ni kusoma phermacy na kwa vyuo vya serikali in muhimbili pekee ndo wanatoa iyo phermacyHyo mbona safi tu ila kwa muhimbil asahau labda udom nk
Cut off points za muhimbil zpo juu sana nadhani ni point 8 kwa vpnd 3Duu aisee ngoja tusubili kozi lengo lake ni kusoma phermacy na kwa vyuo vya serikali in muhimbili pekee ndo wanatoa iyo phermacy
Kwani point nane hazijafika hapo??Cut off points za muhimbil zpo juu sana nadhani ni point 8 kwa vpnd 3
Zmefika ndio,, ko usiwaze sana apo mambo safi tuKwani point nane hazijafika hapo??