Mfumo wa udahili wa mwaka huu; kuna vyuo vitakosa wanafunzi kwa ujinga

ukishachaguliwa utakuwa informed na utapewa muda ufanye confirmation kama utajiunga au la.uki confirm wanawasalisha jina TCU usipo confirm nafasi inakuwa wazi kwa wengine kufanya application kwahiyo hamna uwezekano wa chuo kukosa wanafunzi lkn kuna uwezekano wa wanafunzi kukosa vyuo.

Huoni kama hata nafasi ya
Simple solutions to complex problems are always the best.

1. Waombaji wenye sifa walioomba kozi hii kama chaguo lao la kwanza wote wapate.
2. Je, bado nafasi bado zipo? Kama nafasi bado zipo, zijazwe na waliochagua kozi hii kama chaguo lao la pili.
3. Endelea vivyo hivyo kwa machaguo mengine mpaka nafasi zijae au waombaji wenye sifa waishe.
4. Ushindani wa cut-off points ni miongoni mwa kila chaguo.

Kwa utaratibu huo, watakaopata nafasi walio wengi ni wale waliochagua kozi husika kama chaguo la kwanza. Hawa walio wengi wao wataenda kwenye kozi husika.

No problem!

Muda utaaasema tu, niaonacho inabidi TCU wafanye utaratibu Wa kutoa naafasi ya watu kuomba tens maana kwenye awamu ya kwanza vyuo karibia vyote vitangangania wale wenye div one na vitaona viefikisha idadi takiwa kumbe waliyemchagua ndiye Huyo huyo kachaguliwa na vyio vingine kwa kigezo cha ufaulu
 
Bora zamani,tulikuwa tunajaza kabisa kama umeomba vyuo vingi (Multiple Selection),lakini hii ya mwaka huu kuna mkanganyuko mkubwa sana.Ngoja tusubiri nawaonea huruma wale wenye Division III tuu
 
Sure yaaan brother ,i think n tatizo kubwa na ofcourse litagharimu vyuo ving sana
 
Bora zamani,tulikuwa tunajaza kabisa kama umeomba vyuo vingi (Multiple Selection),lakini hii ya mwaka huu kuna mkanganyuko mkubwa sana.Ngoja tusubiri nawaonea huruma wale wenye Division III tuu
kuchaguliwa chuo hawaangalii Division yako wanaangalia cut off points zinazohitajika katika hiyo course uliyo apply kwahiyo swala la kupata Division III siyo issue,issue ni kwamba umefikia cut off points za hiyo course au la.
 
Huoni kama hata nafasi ya


Muda utaaasema tu, niaonacho inabidi TCU wafanye utaratibu Wa kutoa naafasi ya watu kuomba tens maana kwenye awamu ya kwanza vyuo karibia vyote vitangangania wale wenye div one na vitaona viefikisha idadi takiwa kumbe waliyemchagua ndiye Huyo huyo kachaguliwa na vyio vingine kwa kigezo cha ufaulu
Its obvious watatoa nafasi tena kwasbabu siyo wote watakaochaguliwa batch 1.
 
Kusema ukweli..kuna mkanganyiko mkubwa sana..kuna wengi watakosa vyuo..na vyuo vingi vya private vitakosa wanafunzi..trh 2 sio mbali ngoja tusubiri
 
Jamani mnanipandishaa roho juu juu hatare ivi kwa muhitimu wa PCB mwenye chemistryB physicsD na Bios C anaweza pata nafasi muhimbili kwa kozi ya phermacy au udom medicine au aanze kutafta mtaji tuu apambane na hali yake
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom