Mfumo wa serkali za mitaa ni mvutano?

Omulangi

JF-Expert Member
Feb 12, 2008
1,036
265
Hivi serkali za mitaa ni mvutano kati ya wanasiasa na wataalamu? Je mvutano na wakati mwingine uhasama na kutishana katika halmashauri zetu ndio kichocheo cha kuleta maendeleo sehemu zote duniani mfumo huu unapofanya kazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…