Na vile vile labda me ndo cjakuelewa swali lako au vp!unaposema pesa mpya znapotengenezwa una maana currency mpya au notes mpya?
Kama jibu ni currency mpya,basi inapotokea new currency inatengenezwa,ile ya zamani itaondolewa kwenye mzunguko,then mara nyingi huwa zinakua destroyed either kwa kuchomwa moto au kwa namna nyingne.na kama jibu lako ni notes mpya,kinachofanyika ni kwamba,commercial banks ndo huwa zina kazi ya kupokea notes zote chakavu na zisizo chakavu then huwa wanaenda kuzideposit kule central bank,sasa central bank huwa inaangalia ni notes gani ambazo zimechakaa sana ndo baadae wanaamua kutoa notes mpya kwenye mzunguko kwa kuzingatia number za notes husika,zile chakavu nazo huwa zinakua destroyed chin ya uangalizi wa central bank e.g BOT kwa hapa kwetu.
Suala lingine,pesa huwa hazitengenezwi kila wiki kama unavyodhani,pesa huwa zinatengenezwa pale inapotokea kuna mahitaji ya kufanya hvyo,kinachofanyika,pesa huwa zinatengenezwa then zinawekwa kwenye reserve ya taifa ambayo ni central bank,sasa central bank ndo huwa ina mamlaka ya kuziingza pesa hzo kwenye mzunguko kwa kuzingatia vitu kama demand and supply,purchasing power of money,volume of money in circulation nk.