Mfumo wa GPA na wa DIVISION katika A'level

Mfumo wa GPA na wa DIVISION katika A'level

wadau kwa wnafunzi waliomaliza 4m 6 b4 mwaka 2012 kna wny dvsn 3 waliochaguliw chuon mwaka huu? toa 7b kutetea hoj yako

Andika vizuri ueleweke.Wewe unaleta hoja tuijadili basi iwe kwenye lugha rasmi.Au unafikiri wote humu ndani ni rika lako.
 
Jibu ni moja tu chuo wanaangalia cut off point ili uweze dahiliwa, so ukimaliza mwaka wowote hakuna tatizo.
 
Jibu ni moja tu chuo wanaangalia cut off point ili uweze dahiliwa, so ukimaliza mwaka wowote hakuna tatizo.

Safi sana mkuu nimepitia baadhi ya comment za zinatia raha sana...!!
 
7b kna rfk ang ana dv3 point 14 pcb.,CUT OF POINT YAKE n 4.3 ameaply edctn vyuo vng ajapata cjajua tatz nikdhn n mfumo
 
7b kna rfk ang ana dv3 point 14 pcb.,CUT OF POINT YAKE n 4.3 ameaply edctn vyuo vng ajapata cjajua tatz nikdhn n mfumo

Kumbuka pamoja na cut off points,competition pia inamatter.
Tatizo sio mfumo,tatizo ni yeye mwenyewe..kama angekuwa na div1 asingekuja kulalamika hapa!
 
fanya ku compare grade za zaman na hizi mpya. si unajua brn ndo habari ya mjini. pia kwa point alizopata zinafaa kwenda chuo ila ushndan nlimmaliza
 
WAKUU haya matokeo ya BRN kama wewe ulimaliza enzi za division kama mimi sasa watoto wanaonekana wanafaulu sana kiasi kwamba hata kama ukiomba nao vyuo sawa sifa utakua nazo lakini watakutema kulingana na competion ILA ukioomba vyuo visivyo na upinzani wanakuchukua
 
Mlionekana vilaza ndo ikaanzishwaa ili kuwaokoaa
ni kwel ilianzishwa ili kuongeza viwango vya ufaulu sawa kabisa ila nakwambia mm sio kilaza. form 4 nimemaliza 2012 na six..15 lakn mm sio kilaza na ustake ugomvi maana ntakuadhibu vibaya mno bwana crystal field theory
 
Kama Ana cheti chochote kingine aombe kupitia nacte.
 
Back
Top Bottom