mfuko wa mcc: maghufulu na ccm waikosesha Tanzania shs Bil 900

politiki

JF-Expert Member
Sep 2, 2010
2,376
1,507
kufuatia kitendo cha shirika la kupunguza umaskini la marekani MCC kukataa kutoa dola za kimarekani milion 450 basi mwezi huu JPM na CCM yake watakuwa wametutia hasara ya shs bil 900. kikwazo kikubwa cha kutopatikana kwa fedha ni mgogoro mkubwa wa kisiasa huko zanzibar ambao umesababishwa na chama cha mapinduzi, CCM kwa kitendo chake cha kukataa kushindwa uchaguzi na kungangania kubaki madarakani kinyume na katiba ya zanzibar 28(2). Rais maghufuli ameonyesha udhaifu mkubwa katika kutatua mgogoro huu ambao umeanzishwa na chama chake hasa kwa kitendo chake cha kujiweka pembeni huku akijua wazi kuwa mgogoro unamuitaji yeye mwenyewe kuliko kiongozi yeyote yule na kitendo cha kushindwa kushugulikia mgogoro huu fake ndani ya miezi miwili ndio kimetupelekea kuzikosa fedha hizi kwa kitendo chake cha kuweka mbele maslai ya chama badala ya nchi kwenye sakata hili kimetukosesha fungu kubwa ambalo lingeweza kutusaidia kupunguza umaskini.

in my opinion kama endapo atafanikiwa kukusanya shs 1.3T mwezi huu which is very Good news basi ukiondoa hasara ya bil900 iliyosababishwa naye na chama chake CCM basi atakuwa amekusanya shs.bilion 400 tu kihualisia.
 
Hizo hela hazihitajiki kabisa nchi inatakiwa kujitegemee

Zanzobarr haki itendeke alioshindaa apewe haki yake
 
kufuatia kitendo cha shirika la kupunguza umaskini la marekani MCC kukataa kutoa dola za kimarekani milion 450 basi mwezi huu JPM na CCM yake watakuwa wametutia hasara ya shs bil 900. kikwazo kikubwa cha kutopatikana kwa fedha ni mgogoro mkubwa wa kisiasa huko zanzibar ambao umesababishwa na chama cha mapinduzi, CCM kwa kitendo chake cha kukataa kushindwa uchaguzi na kungangania kubaki madarakani kinyume na katiba ya zanzibar 28(2). Rais maghufuli ameonyesha udhaifu mkubwa katika kutatua mgogoro huu ambao umeanzishwa na chama chake hasa kwa kitendo chake cha kujiweka pembeni huku akijua wazi kuwa mgogoro unamuitaji yeye mwenyewe kuliko kiongozi yeyote yule na kitendo cha kushindwa kushugulikia mgogoro huu fake ndani ya miezi miwili ndio kimetupelekea kuzikosa fedha hizi kwa kitendo chake cha kuweka mbele maslai ya chama badala ya nchi kwenye sakata hili kimetukosesha fungu kubwa ambalo lingeweza kutusaidia kupunguza umaskini.

in my opinion kama endapo atafanikiwa kukusanya shs 1.3T mwezi huu which is very Good news basi ukiondoa hasara ya bil900 iliyosababishwa naye na chama chake CCM basi atakuwa amekusanya shs.bilion 400 tu kihualisia.

kilaza at work
 
kufuatia kitendo cha shirika la kupunguza umaskini la marekani MCC kukataa kutoa dola za kimarekani milion 450 basi mwezi huu JPM na CCM yake watakuwa wametutia hasara ya shs bil 900. kikwazo kikubwa cha kutopatikana kwa fedha ni mgogoro mkubwa wa kisiasa huko zanzibar ambao umesababishwa na chama cha mapinduzi, CCM kwa kitendo chake cha kukataa kushindwa uchaguzi na kungangania kubaki madarakani kinyume na katiba ya zanzibar 28(2). Rais maghufuli ameonyesha udhaifu mkubwa katika kutatua mgogoro huu ambao umeanzishwa na chama chake hasa kwa kitendo chake cha kujiweka pembeni huku akijua wazi kuwa mgogoro unamuitaji yeye mwenyewe kuliko kiongozi yeyote yule na kitendo cha kushindwa kushugulikia mgogoro huu fake ndani ya miezi miwili ndio kimetupelekea kuzikosa fedha hizi kwa kitendo chake cha kuweka mbele maslai ya chama badala ya nchi kwenye sakata hili kimetukosesha fungu kubwa ambalo lingeweza kutusaidia kupunguza umaskini.in my opinion kama endapo atafanikiwa kukusanya shs 1.3T mwezi huu which is very Good news basi ukiondoa hasara ya bil900 iliyosababishwa naye na chama chake CCM basi atakuwa amekusanya shs.bilion 400 tu kihualisia.
MUNGU akuondoe kwenye hicho kifungo cha KIKOLONI. Jitu zima unashabikia kutembeza BAKULI. Unafikiri huyo USA anaupendo sana na TZ...mfyuuuuuuuuuuuuu.Tunakusanya kodi zetu na tunasonga mbele chini ya Magufuli.
 
MUNGU akuondoe kwenye hicho kifungo cha KIKOLONI. Jitu zima unashabikia kutembeza BAKULI. Unafikiri huyo USA anaupendo sana na TZ...mfyuuuuuuuuuuuuu.Tunakusanya kodi zetu na tunasonga mbele chini ya Magufuli.

Nina wasiwasi na huyu jamaa kama kweli hatokei maeneo ya chinangali, chamwino, kizota, nkuhungu, mailimbili, hazina, makoye n.k
 
Mkwamo wa zanzibar umemuweka Pombe uchi wa mnyama mbele ya dunia.

sana Daudi Mchambuzi yaani ameonyesha udhaifu mkubwa sana na hasa kwa kitendo chake cha kushindwa kuonyesha presidential leadership kwa kujificha nyuma ya Shein. yuko wapi yule mtu anayesema msema kweli ni mpenzi wa Mungu kwenye ili suala la zanzibar mbona haonekani !!!????
 
kwani magufuli alifanya biashara gani na hao wamarekani hadi akapata hasara hiyo? watu kukataa kutoa msaada siyo hasara je wao wangepata faida gani kama wangetoa msaada huo. basi nao wamepata hasara kwa kutokutoa msaada huo.
 
Tunahangaika na hela ambazo TRA wanaweza kukusanya mwezi mmoja na chenji ikabaki
 
Tatizo ni kiongozi kukosa viza za kuingia nchi yoyote kama itakuwa nimemuelewa rais magufuli alipopewa nafasi ya kuongea kanisani jana

Afadhali wabakie hapa hapa bongo maana tumewachoka kila siku marekani
 
sana Daudi Mchambuzi yaani ameonyesha udhaifu mkubwa sana na hasa kwa kitendo chake cha kushindwa kuonyesha presidential leadership kwa kujificha nyuma ya Shein. yuko wapi yule mtu anayesema msema kweli ni mpenzi wa Mungu kwenye ili suala la zanzibar mbona haonekani !!!????

Kajificha na huwez8 kumuona
 
Back
Top Bottom