jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,013
Nimeona kwenye taarifa ya habari ITV leo kuwa serikali ya Zanzibar inaanzisha mfuko wa hija kuwasaidia waislamu wasioweza kwenda hija, kutimiza ibada yao hii. Kwa wanaofahamu (msiofahamu tafadhali piteni pembeni),
1. Fedha za mfuko huu zinatoka kwenye kodi za wazanzibari wote au wazanzibari waislamu tu?
2. Ni halali kikatiba kwa serikali kuwa na mfuko wa uwezeshaji wa ibada ya dini moja? mfano, je? serikali ya zanzibar inaweza vile vile kuwezesha watu wa dini nyingine kutimiza ibada za dini zao?
Maswali haya ni kwa wanaofahamu tu, epukeni mihemuko ya kidini please kuna sheria ya cybercrime.
Nawasilisha.
1. Fedha za mfuko huu zinatoka kwenye kodi za wazanzibari wote au wazanzibari waislamu tu?
2. Ni halali kikatiba kwa serikali kuwa na mfuko wa uwezeshaji wa ibada ya dini moja? mfano, je? serikali ya zanzibar inaweza vile vile kuwezesha watu wa dini nyingine kutimiza ibada za dini zao?
Maswali haya ni kwa wanaofahamu tu, epukeni mihemuko ya kidini please kuna sheria ya cybercrime.
Nawasilisha.