Mfuko wa Hijja ni halali kikatiba?

Mfuko wa Hijja ni halali kikatiba?

Si Halali, Wala Haihitaji Sheria, Wanachofanya Wanatumia Rup Hall Ya Uchache Wa Wakristo Kuwakandamiza Wakristo, Kama Ni Hija Hata Wakristo Wanatakiwa Kwenda Hija Israel, Nani Anawalipia Hao Wakristo? Ukweli Lazima Usemwe.

Rup Hall ndio nini mkuu
 
Zanzibar kuanzisha mfuko wa hijja sio lazima wachukue pesa za walipa kodi.kuna pesa za oic ambazo wameruhusiwa kulamba.kuna pesa za mfuko wa umoja wa visiwa vya bahari ya hindi na wanaweza kupata kutoka hata nchi rafiki.
 
Back
Top Bottom