gx_nation
Member
- Dec 3, 2022
- 32
- 56
Ikiwa mwanamke anaweza kumsahau mtoto wake anyonyae hata asimuhurumie, je, wewe ni nani mpaka asikugeuke, wanaume tunapoambiwa tuishi na wanawake kwa akili nyingi basi tuangalie ni nani muasisi wa maarifa yenye akili nyingi?
Visa vingi vya watu kuua na kujiua kisa mahusiano vingeepukika ikiwa watu wangekua na hofu ya mungu kwa kumfanya mungu awe wakwanza ktk maisha yao.
Visa vingi vya watu kuua na kujiua kisa mahusiano vingeepukika ikiwa watu wangekua na hofu ya mungu kwa kumfanya mungu awe wakwanza ktk maisha yao.