Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Sada Alfani, Mfanyakazi wa Kampuni ya Kuuza Mafuta ya Lake Oil amejikuta akimwaga Machozi mara baada ya kupoteza Kazi kutokana na Kituo hicho Kuchomwa Moto kufuatia Vurugu za Oktoba 29.
Sada amesema Kazi hiyo alikuwa anaitegemea kwa ajili ya kuisaidia familia yake kwakuwa yeye ni Mama na anasomesha kwa Kazi hiyo.
Sada amesema Kazi hiyo alikuwa anaitegemea kwa ajili ya kuisaidia familia yake kwakuwa yeye ni Mama na anasomesha kwa Kazi hiyo.