IsaacMG
Member
- Dec 6, 2019
- 91
- 124
Habari wadau. Nahitaji binti mwenye uzoefu na KAZI ya kuuza VIFAA VYA ELECTRONICS.
ENEO LA kazi ni Kahama.
Sifa
Umri kuanzia 18 _ 30
Ajue kusoma na kuandika
Awe na mdhamini mwenye Mali isiyohamishika.
Awe mwaminifu.
Awe mchangamfu na mwenye kauli nzuri Kwa wateja.
Mshahara maelewano
Mwenye sifa hapo juu nitafute 0758161628
ENEO LA kazi ni Kahama.
Sifa
Umri kuanzia 18 _ 30
Ajue kusoma na kuandika
Awe na mdhamini mwenye Mali isiyohamishika.
Awe mwaminifu.
Awe mchangamfu na mwenye kauli nzuri Kwa wateja.
Mshahara maelewano
Mwenye sifa hapo juu nitafute 0758161628