John Black
Member
- Feb 3, 2012
- 25
- 24
hiyo milembe imefupishwa..ni KemilembeUsukumani ipo hii? Una uhakika hujawaona watu wa Musoma, wanaita nyumba ntobo. Kama ni usukumani hebu nipe jina lake kwa lugha ya kisukuma niifatilie vizuri.
hiyo milembe imefupishwa..ni KemilembeUsukumani ipo hii? Una uhakika hujawaona watu wa Musoma, wanaita nyumba ntobo. Kama ni usukumani hebu nipe jina lake kwa lugha ya kisukuma niifatilie vizuri.
Jfalipokutaka ulitoa wapi taarifa?
Hakuna mila kama hiyo usukumani, nadhani umedanganywa na ukadanganyika.
Hiyo tabia haina uhusiano wa kikabila bali ya kishetani na inaweza kumpata mtu wa kabila lolote kama hana Kristo Yesu ndani yake, wahusika wanaongozwa na mapepo.
Hapana ni kwamba Tanzania hairuhusu tabia za Ushoga na Usagaji.Huh! Polisi bana, upuuzi wanajua kweli kuufuatilia, kazi za msingi zero kabisa!!
Believe me hata hao uliowaona naamini ni magays na lesbiansHuwezi amini nilipoiona hiyo clip niliona kichefuchefu
Kwanza kulikuwa na watu wengi tena wanashanglia as if ni send off. Kwanza wale watu walionyesha kukubali kile kitendo cha laana. Jamani mkono wa sheria uonekane na uwe mkali iwe fundisho
Hiyo sio mila ya wasukuma, rudi kafanye research upya.......ni mila ya kabila moja huku kanda ya ziwa lkn si wasukumaKwanini hujajiridhisha kwa kufanya karisechi kidogo kabla ya kubisha tu, bila hoja na mihemuko yako ya kidini, ya dini ambazo hata inawezekana huijui kweli yake, na maarifa yanawezekana pia hujayaongeza Mkuu?
Mi niko huku Usukumani, ninachokiongea sio cha kusimuliwa, bali nakishuhudia daily, ambacho labda hujanielewa ni kwamba, hawa wanawake wanaooa huku, dhumuni linakuwa kumpatia watoto, mwanamke tajiri ambaye hana uwezo wa kuzaa, au kujiongezea kipato kupitia watoto alomzalia, na kwamba hawaingiliani, nimesema hapo juu, kwamba muoaji humchagua mwanaume yeyote yule amzalishe mke wake, na watoto watakaozaliwa ni wa yule mwanamke aliyeoa, na mume wa muolewaji ni mwanamke mwenzake akimiliki kabisa kama mke.
Acha kupotosha ndugu, mimi ni msukuma hatuna mila kama hiyo. Tabia hizi zipo sana hasa migodini. Wakati nafanya kazi mgodini walikuwepo maboss wengi wa Kitanzania magays na wasagaji. Hata majina yao yanajulikana na katika hali ya kushangaza wengi walipewa vyumba kuishi ndani ya mgodiKama sikosei, Milembe ni jina la kisukuma, kama ni sawa, basi Watakuwa wamejichanganya, wasukuma wanawake wana mila yao inayoruhusu kuoa mwanamke, Halafu anamkabidhi yeyote ampendae, anamzalia watoto, haswa kama atakuwa hana uzazi yeye.
Hapo unaanza kuvuka mstari ushenzi hauna kabila ndugu yanguWACHAGA HAWAFANYI HUO UBAZAZI
Ndugu hao wote waliokuwa wanashangilia ni magays. Migodini tabia za Western zimetapakaa sana. Bulyanhulu walikuwepo kibaoHalafu kulikuwa na midume inashangilia ule uchafu!! Kweli wanaume wanazidi kupungua duniani
na mama ya jitu linajiita derDah! Kumbe Akina Mbunge wa kike wa moja ya jimbo kule jiji la maraha ana wanachama wenzake kwenye hilo!!!
Kama sikosei, Milembe ni jina la kisukuma, kama ni sawa, basi Watakuwa wamejichanganya, wasukuma wanawake wana mila yao inayoruhusu kuoa mwanamke, Halafu anamkabidhi yeyote ampendae, anamzalia watoto, haswa kama atakuwa hana uzazi yeye.