Kuna ukoo pia uko kimandolu wa Msechu ila ni Waarusha...kifupi hao Waarusha ni Wachaga waliozamia huko zamani.Yeye kazaliwa Arusha maeneo ya Oloirien ( Burusu). Babu zao ndio walikuwa waamiaji na sio wao. Kuna cousin wao mmoja namjua anatumia jina la MzeeTemba wa Kimandolu maeneo ya Phillips (walioishi Kijenge ya juu au maeneo ya Sekei wanawajua kina Temba), cousin mwingine maarufu ni Mzee wa Pendeza studio ilikuwa pale Sheikh A A stadium. Kuna mandugu zao kibao Kijenge ya chini na maeneo ya Mwanama
NIMETOK ArushaMfanyabiashara maarufu mkoani Arusha, Andrew Mollel ambaye alikuwa mwanzilishi na Mkurugenzi wa kampuni mbalimbali mkoani Arusha amefariki dunia na kuibua simanzi kwa wakazi wengi wa jiji hilo.
Akizungumza na Mwananchi leo, Februari 28, Mbunge wa jimbo la Monduli , Fredrick Lowassa amesema kifo cha Mollel ni pigo kubwa katika jiji la Arusha kutokana na mchango wake.
Lowassa amesema taratibu za mazishi wa Mollel zinaendelea kufanywa na wanafamilia lakini, kubwa ambalo Arusha watamkumbuka ni kuandaa michoro ya mradi mkubwa wa nyumba za PPF zilizopo eneo la Kijenge jijini hapa ambalo lilikuwa ni eneo lake.
Mollel alikuwa pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Happy Sausages ,Kijenge Animal Products Limited, Georges Center Ltd na AGM Holding na pia mjumbe wa bodi mbali mbali hapa nchini.
Mollel pia alikuwa ni rafiki wa karibu wa Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa.
Kifo cha mfanyabiashara huyu ni mfululizo wa vifo vya wafanyabiahara kadhaa katika jiji la Arusha katika siku za karibuni.
Taarifa zaidi za kifo cha mfanyabiashara huyu zitaendelea kutolewa
View attachment 1714082
Chudichudi Chong shahVery handsome like me
Lowasa ni ukoo wa Mungure.
Hakuna Masai anaitwa Lowasa.
Yeye kazaliwa Arusha maeneo ya Oloirien ( Burusu). Babu zao ndio walikuwa waamiaji na sio wao. Kuna cousin wao mmoja namjua anatumia jina la MzeeTemba wa Kimandolu maeneo ya Phillips (walioishi Kijenge ya juu au maeneo ya Sekei wanawajua kina Temba), cousin mwingine maarufu ni Mzee wa Pendeza studio ilikuwa pale Sheikh A A stadium. Kuna mandugu zao kibao Kijenge ya chini na maeneo ya Mwanama
Ni cousins kabisa na Mollel, nadhani mama yake ndie mrangiMarehemu Mzee Pendeza Studio ni mrangi ingawa alijiita Mollel
Nadhani anaongelea Northern Electric manufacture,NEM nadhani hii marehemu alikuwa share holder na Adam Mollel.
Nahisi sio covid 21, TRA,BANK.
Sahihi kabisa mkuu,Elowassa maringo/majivuno/ kwa kimaasai.Baba yake Lowassa alikuwa tarishi wa kikoloni akivaa kaptura,viatu na soksi he was smart.Ndio chanzo cha jina la Lowassa ni Mmeru kwa 💯 %.
Hata za kubadilisha mboga hawana...ovyoo kabisa kushinda kwenye kioo tuDah....tumetofautiana ....mm nadhan wanawake ndo wakusifie wewe..sio ww ujisifie..vianaume vihandsome vinajikutaga balaa..hamjishughulishagi mpo mpo tu...uzuri Mungu alishawapa KOFI...hamnaga hela chafu...mna hela za kubadilishia mboga
Hii kampuni ipogo bado kweli?,ilikuwaga inatengenezaga hizi main switch za Umeme, kabla mchina hajatamalaki enzi hizo.You are right
Kuna mmoja yumo humu jf...unadhani haendi chooni...mzuriii....kila wk naombwa hela.afu anakupangia sister naomba 30 hapa yaan sielewi kbs...ananichefua anavyojitapa humu namchek nasema nhiiii!Hata za kubadilisha mboga hawana...ovyoo kabisa kushinda kwenye kioo tu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
hhahahhahahhaaaa nimecheka kifala yanKuna mmoja yumo humu jf...unadhani haendi chooni...mzuriii....kila wk naombwa hela.afu anakupangia sister naomba 30 hapa yaan sielewi kbs...ananichefua anavyojitapa humu namchek nasema nhiiii!
Shida ilikuwa nn.Mfanyabiashara maarufu mkoani Arusha, Andrew Mollel ambaye alikuwa mwanzilishi na Mkurugenzi wa kampuni mbalimbali mkoani Arusha amefariki dunia na kuibua simanzi kwa wakazi wengi wa jiji hilo.
Akizungumza na Mwananchi leo, Februari 28, Mbunge wa jimbo la Monduli , Fredrick Lowassa amesema kifo cha Mollel ni pigo kubwa katika jiji la Arusha kutokana na mchango wake.
Lowassa amesema taratibu za mazishi wa Mollel zinaendelea kufanywa na wanafamilia lakini, kubwa ambalo Arusha watamkumbuka ni kuandaa michoro ya mradi mkubwa wa nyumba za PPF zilizopo eneo la Kijenge jijini hapa ambalo lilikuwa ni eneo lake.
Mollel alikuwa pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Happy Sausages ,Kijenge Animal Products Limited, Georges Center Ltd na AGM Holding na pia mjumbe wa bodi mbali mbali hapa nchini.
Mollel pia alikuwa ni rafiki wa karibu wa Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa.
Kifo cha mfanyabiashara huyu ni mfululizo wa vifo vya wafanyabiahara kadhaa katika jiji la Arusha katika siku za karibuni.
Taarifa zaidi za kifo cha mfanyabiashara huyu zitaendelea kutolewa
View attachment 1714082
Kuna mmoja yumo humu jf...unadhani haendi chooni...mzuriii....kila wk naombwa hela.afu anakupangia sister naomba 30 hapa yaan sielewi kbs...ananichefua anavyojitapa humu namchek nasema nhiiii!
naomba kujua jinsia yako mkuuJamaa alikuwa handsome siyo wa kubahatisha,ukichanganya na rangi ya chungwa aliyonayo+pamba kali ungempenda bila kutaka